Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,512
Naona wanaohangaika sana na hili suala ni baadhi ya wachambuzi na Mzozo. Nadhani kama Simba wanamuhitaji wataongeza wau wangemwongeza.
Sioni issue inakuaje kwa Mohammed Hussein aonekane bila yeye Simba haiwezi kwenda mbele? Nadhani wamwache tu aamue anachotaka, ana haki ya kwenda popote anapotaka.
Mohammed Hussein anaweza achwa tu Simba na wala si nguzo kubwa ya kiasi hicho. Simba ya sasa inaweza acha mchezaji yoyote hasa kwa nafasi ya Mohamed Hussein.
Kitakachomponza Mohammed Hussein ni Meneja wake. Nami nadhani kwa hili Simba wamwache Mo Hussein ili Meneja wake amuuze anapoona panafaa.
Sioni shida ipo wapi. Simba ina haki ya kumwacha na Mohammed Hussein ana haki ya kutafuta sehemu ambayo itamlipa zaidi.
Meneja anaonekana kutokuwa na mstaarabu kutokana na maneno anayoongea. Nadhani Simba wamwachie Meneja ampeleke Mo Hussein popote anapoona panafaa. Simba ni kubwa sana kuliko mchezaji yeyote.
Sioni issue inakuaje kwa Mohammed Hussein aonekane bila yeye Simba haiwezi kwenda mbele? Nadhani wamwache tu aamue anachotaka, ana haki ya kwenda popote anapotaka.
Mohammed Hussein anaweza achwa tu Simba na wala si nguzo kubwa ya kiasi hicho. Simba ya sasa inaweza acha mchezaji yoyote hasa kwa nafasi ya Mohamed Hussein.
Kitakachomponza Mohammed Hussein ni Meneja wake. Nami nadhani kwa hili Simba wamwache Mo Hussein ili Meneja wake amuuze anapoona panafaa.
Sioni shida ipo wapi. Simba ina haki ya kumwacha na Mohammed Hussein ana haki ya kutafuta sehemu ambayo itamlipa zaidi.
Meneja anaonekana kutokuwa na mstaarabu kutokana na maneno anayoongea. Nadhani Simba wamwachie Meneja ampeleke Mo Hussein popote anapoona panafaa. Simba ni kubwa sana kuliko mchezaji yeyote.