Wachagga hii ni kweli?

Status
Not open for further replies.
Binafsi nawakubali wachaga kwa sababu ni wachapakazi tofauti na makabila mengine hasa ya mikoa ya Pwani. Kazi yao ni kukaa kwenye bao asubuhi mpk jioni na kuongeza wake tu.
 
Watu hawafanyi kazi,wanakalia majungu tu na fitna. Makazini humo wamejaa watu ni majungu tu ufanisi hamna.
 
Binafsi nawakubali wachaga kwa sababu ni wachapakazi tofauti na makabila mengine hasa ya mikoa ya Pwani. Kazi yao ni kukaa kwenye bao asubuhi mpk jioni na kuongeza wake tu.

hahahaaa...... Nakwenda sokoni
 


I thought there is point here but it is rubbish,influenza. Send it to recycle !
 
Wachagga leo tukutane Rombo Green View hotel tujadili hii thread.
 
Ni kweli ni wachapakazi!!!! Huwezi kuta mchagga kijiweni anacheza bao na busha limening'inia eti ajiite muungwana!!
Hata Mimi nimeishi uchagani nimejifunza, nimebadilika na hata wakwetu pwanipwani nawasihi wabadilike!!!!

Mkuu tutake radhi!!! Busha! Astakhafilulah!!
 
At least wachaga tu cha kuzungumziwa, nyie wenzetu hamna makabila?
 

Si kweli, wachaga bado wana-dominate in every field! Kuna vitu ambavyo haviitahi degree ya chuo kikuu kielewa. Just go to any field where the head is the boss, you will notice a string of fellow clans men below! Nadhani hiyo ipo (kwa kiasi) katika makabila mengine, but is very vivid in chaga case! Anyway, lakini wamesoma sana, kuwa pale kunaweza kukawa na justification ingawa kwa sasa makabila yote yamesoma!!! Tunategemea a balanced distribution of workforce in varioud fields!
 
Sisi tunajadili UKABILa wakati mkuu wa kaya na mwanae wanachumia tumboni mali za watanzania,Mkoloni alitualibu kweli akiri zetu,mpaka leo tumekuwa walemavu wa akiri.
 

Unapopoteza muda wako kujadili ya wachaga ndivyo unazidi kudidimia. Unachotakiwa kufanya ni kuangalia wapi umekosea katika kujipanga kimaisha halafu chukua hatua mara moja kuyaweka sawa mambo yako. Utakalia kuhoji ya Wachagaaaa Wahayaaa wanyakyusaa wadigoooo na wengine wengiiii,hisi masaa na siku zikisonga mbele na uzee ukikodolea macho na hatima yake unakufa masikini.
 
Posts kama hizi mi napitaga tu,unadhani!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…