Wachaga wazidiana ujanja.

Wachaga wazidiana ujanja.

hahahahah kwakweli apo arifu masaweee ndo mjanja kila mtu ataingia kwake, am proudly to be chagga, luwarango sana aisee

Balida Sana, Tutazidiana Wenyewe Lakini Hakuna Mtu back atakayeweza Kutushinda/ Hakuna Mchaga Mjinga arifee
 
Wachaga watatu walikuwa wakimiliki maduka yaliyoungana katika jengo moja ila milango mitatu tofauti.
Mlango wa kushoto SHIRIMA kaandika 'BEST DEALS'.
Mlango wa kulia MREMA kaandika mlangoni 'LOW PRICES'.
Mlango wa kati,MASAWE akaona akizubaa hawa wajinga watampiga bao,nae akaandika mlangoni 'MAIN ENTRANCE'.
Daa, Masawe mbayaaaaaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom