wachagga wa eneo moja la kibosho....maeneo ya kifuni..na umbwe...kule kibosho juu (sijui kama ni wakibosha wote)wanakeketa mabinti....hili nimelishuhudia mwenyewe wakati nikifanya tafiti juu ya jambo hili....niliamua kwenda kibosho umbwe mpaka kifuni..kutafiti na nikakuta ni kweli mabinti wa kule wanakeketwa...tena binti kabla hajaanza ngono lazima akeketwe...sema wao hawakati sana kama wanavyofanya wasomali......wao wakibosho wanakata clitoris(harage)....Sijui sasa kama hii mila inaendelea bado kule baada ya kelele nyingi kupigwa miaka ya karibuni maana tafiti hii nilifanya miaka ya 1992-1993(ulikuwa na umri gani hapa wewe?).......
yesuuuu wanguu....na manka alikuwepo,kileo alikuwepo,kimaro alikuwepo,mremi alikuwepo,shayo alikuwepoo,ahaha keku nae anlikuwepo ni memsahau NANIIII CHUAAAA NAE ALIKUWEPO,wachagga na sisi tumooo tuna represent this s h it for real.ilaa kuhusu la kukeketwaa sithani ni wanawake wa kare kuanzi 20 ilikuwa zamani sanaaa,sasa hivi watu wameelimikaa BIG UP KWAMACHALI WANGU WA ROMBOO,TARAKEA,MKUU....
Thanks mkuu. Sijui wenyewe watasemaje? nadhani sasa mashambulizi yatapungua kwangu nawe watakuanza na wasema kweli wengine.
Ok! Mama Labda we ndo unajua mimi sasa ntajuaje jamani? Thank u kwa taarifa lkn ye si mchagga jamani ila mama yako ni mchagga na wewe pia! Mtwambie.
Tabia ya kukeketa wanawake ipo kwa kiasi kikubwa wilaya ya Rombo. Hivyo ukichukua mwanamke kutoka rombo kuna uwezekano mkubwa akawa amekeketwa.
Kweli mkuu makabila mengi hapo miaka ya nyuma walikuwa wakikeketa ila hayo mambo yamepungua miaka ya hivi karibuni. Ila ukigonga wenye miaka 40 na kuendelea lazima utaikosa memory card! Makabila kama wapare, wachaga, wagogo, wakurya, nk. walikuwa wakikeketa. Kuna wengine wameacha ila wengine wanafanya kwa siri mfano huko Ukuryani na ugogoni.sikatai kuwa wengi walikeketwa but kiukweli not nowadays bana. Zamani ilifanyika na ilikuwa ni lazima vinginevyo walikuwa wanatengwa wasingeolewa.. siku hizi hakunaga
Tabia ya kukeketa wanawake ipo kwa kiasi kikubwa wilaya ya Rombo. Hivyo ukichukua mwanamke kutoka rombo kuna uwezekano mkubwa akawa amekeketwa.
Wewe wameshakukeketa?
Mpaka wa leo nimeshalamba wachaga si chini ya 9 na sijakutana hata na mmoja aliyekeketwa. Mimi wasiwasi wangu ni jinsia yako. Iweje ukayajadili haya na wamama wa4 wa kichaga na kuuita huo ni uchunguzi.