Kumekuwa na mtazamo kwamba wachaga ni watu wasiojua mapenzi na wao wameweka pesa mbele mfano mwanamke yupo tayari kumuua mumewe ili arithi mali,hilo jambo sio kweli sababu mimi nimeoa mchaga na tuna miaka mitano katika ndoa na tunaishi vizuri na mke wangu kwahiyo naomba tusiwadharau wachaga