Wachaga tusiwadharau katika mapenzi

Wachaga tusiwadharau katika mapenzi

Status
Not open for further replies.
Experience ya miaka 5 kwenye ndoa ni bado sanaaa. Piga 15 then uje hapa utupe uzoefu. Kuhusu uchagga au ukabila siingii humo manake kila kabila lina uzuri na ubaya wake.
Ukiona unapenda mke goigoi kuna makabila yako ivyo, ukitaka mchapakazi yapo pia, ukitaka wa kubinjuka kunako 6×6 wapo pia.
Ukitaka mafiga 3 wapo pia.
Ukitaka wenye heshima na maadili kwenye ndoa wapo pia.
Ni wewe tu na hisia na nini unakitaka kutoka kwa mke.
Ila hayupo aliye mkamilifu kila idara Mkuu.
 
Kumekuwa na mtazamo kwamba wachaga ni watu wasiojua mapenzi na wao wameweka pesa mbele mfano mwanamke yupo tayari kumuua mumewe ili arithi mali,hilo jambo sio kweli sababu mimi nimeoa mchaga na tuna miaka mitano katika ndoa na tunaishi vizuri na mke wangu kwahiyo naomba tusiwadharau wachaga


Hebu orodhesha mali ulizonazo! usidhani wanaua tu kila mwanamume ati !
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom