Wachaga!sio watu hata kidogo!

Wachaga!sio watu hata kidogo!

Pure nomaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
1,158
Reaction score
1,388
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-

mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu

mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu

mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!
 
Acha hizo Chalii! pesa haigawii burebure kama peremende!!
 
wachanga watu wazuri bhana
 
wachaga ni mwisho hutembea kwa mguu lakini nauli wanayo mfukoni
 
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-

mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu

mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu

mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!

I am a Chuwa and I am human being
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom