Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,091
- Thread starter
-
- #141
Hakuna neno tofauti la Kichaga kwa Mwizi na Mjanja wote wanaitwa Rango.Mmekaa kiwiziwizi
Mimi ni Tomaso
Gusa ili uaminiMimi ni Tomaso
Kwahiyo hii ndio unaita exposure.Ulaya ulienda kufanya nini kama akili ndio za hivi.Unajua kufanya umalaya ni unethical and immoral?(bado unatetea kwamba watu waendelee kupata pesa in a primitive way,kweli we mchaga).Kwanini binti wa Kisukuma asitoe hicho kitumbua akazichukua yeye?
Tutarudi pale pale kwamba wewe hujawahi kutoka huijui Dunia. Sasa kwakuwa ni mshamba na kwakuwa unaenda bar zako za kishamba unadhani Waitress ni kazi ya kudhalilisha.Kwa taarifa ya bure ni kwamba kazi ya mtu inahusiana na uwezo wake kiakili(factors nyingine ziweke kando ukitaka tutaziongelea).
Plato.Alifanya grouping ya watu na kazi zao kulingana na uwezo wao kiakili ndio maana alikuja na kundi la iron boys ambao kwasababu cognitive abilities zao kuonekana kuwa chini akawapa kazi kama migambo,majeshi na kuendelea.
Kazi ya barmaid inahitaji mtu tu mwenye low level of cognition ndio maana nimekataa mtu mwenye IQ ya 120 rating kufanya kazi ya hivi.
Kuna kitu tunasema,thought precedes an action.Hivyo basi ukiona mtu ni barmaid(weka hoja nyingine kando) utajua kichwani kwake ni mweupe kwa maana kama angekuwa mtu mwenye kuwaza vizuri tungeona idea iliyo bora kutoka kwake na si kwenda kuwa barmaid.
Nchi gani ya magharibi umekaa we jamaa.Yani nyie ndio mnasema wazungu wote wana akili.Nimekaa Malibu miezi sita nikafanya kazi Fochville miaka miwili.Huu utumbo unamuandikia nani hapa?Kazi ya waiter au waitress ni kazi ya walioshindwa kafie mbali hukoTutarudi pale pale kwamba wewe hujawahi kutoka huijui Dunia. Sasa kwakuwa ni mshamba na kwakuwa unaenda bar zako za kishamba unadhani Waitress ni kazi ya kudhalilisha.
Ungekuwa umeishi nchi za Magharibi ya Dunia ungejua hata watoto wa matajiri wanaposoma wanafanya hizo kazi.
Sasa wewe dada zako wanajiuza Telgram wakiwa nyumbani kwa IQ zao za 60 lakini Wachaga wanatoka na IQ120 wanafanya kazi wanaomba business card wanafanya interview na wanaajiriwa
Wengine mlikusanywa kama Kondoo kwenye operation vijiji. Umewahi kusikia kijiji cha Ujamaa Uchagani?
Soma Kitabu cha Nyerere Building Ujamaa Village in Tanzania ameeleza kila kituView attachment 3450148
Hawa watakuwa walikuwa wanaidanganya serikali ili tu wapate ardhi kupitia operesheni vijiji ambayo kwa mujibu wako haikuwahi kufanyika huko uchagani...
Kuwa barmaid ni njia tu yakutafuta. Vipi mwenye iq 120 akiwa barmaid halafu anaweza kumchuna msukuma millions zake 200 ndani ya week (uwezo wa akili). Haya huyu mwenye iq 60 hata akiwa Engineer hana hata ajira ni kishoka tu kula kuunga unga (hana uwezo)
Kazi ya mtu haihusiani na uwezo wake wa akili. Kuna watu ni madalali, barmaids au wapiga debe stand wana maisha mazuri kuliko watu wenye kazi rasmi kama wahasibu, ma engineer n.k
Kuwa na maghorofa sio sababu ya kukosa maskiniView attachment 3450149
Uchagani Kuna maghorofa mengi sana na lami kila uchouchoro. Dini zimelala hakuna Imani za hovyo kama sehemu zingine.
Kama ulikaa Malibu kule zaidi ya usafi na ulinzi ungefanya kazi gani tena wewe? Na kama ulikaa Malibu usingeweza kabisa mtu kuwa Barmaid katika kutafuta nafasi.Nchi gani ya magharibi umekaa we jamaa.Yani nyie ndio mnasema wazungu wote wana akili.Nimekaa Malibu miezi sita nikafanya kazi Fochville miaka miwili.Huu utumbo unamuandikia nani hapa?Kazi ya waiter au waitress ni kazi ya walioshindwa kafie mbali huko
Uhalisia umeuona lakini? Wananchi wanazungumza uhalisia yani hali halisi ilivyo wewe unazungumzia masimulizi ya vitabu ambayo Kuna editing za kutosha.Soma Kitabu cha Nyerere Building Ujamaa Village in Tanzania ameeleza kila kitu
SawaHakuna neno tofauti la Kichaga kwa Mwizi na Mjanja wote wanaitwa Rango.
"Kuta ofee tondo fee rango" wanakuambia kwa tafsiri nyepesi kuliko uzae taahira zaa mwizi ataiba ule
Asante sana.Kuwa na maghorofa sio sababu ya kukosa maskini
Dunia nzima hakuna sehemu ambapo wanakosekanaAsante sana.
Samia Oyeeeee...Wachaga walishakuwa mbele ya muda sana kuzidi karibu makabila yote ya Afrika mashariki, kati na kusini. Kuanzia Machame, Marangu hadi Rombo ni maendeleo matupu. Ingawa kwa sasa wanapelekewa moto kibiashara na wakinga ila wachaga kimaendeleo ni habari nyingine. Hakuna kabila linalowasogelea.
Kama ndio ujasus wenyewe je.Hawa wachaga ambao ni wahudumu wa bar huku kwetu Bariadi watoto wakisukuma wanaruka nao kila siku wakitoka na pesa zao maduarani ndio unasema wana IQ ya ngapi kiongozi?
Vipi vya Kisukuma UDP na kile cha Shibuda vinaendeleajeNdio maana hata vyama vyao chadema,nccr na tlp vitaendelea kusugua benchi.
Wasukuma achaneni na hivyo vyama ni heri ukawa neutral, ukanda ni mwingi sana na ndio maana wanateseka
Wachaga maendeleo yao yamepatikana na yanapatikana sio kwenye biashara tu, kama wakinga .Wachaga walishakuwa mbele ya muda sana kuzidi karibu makabila yote ya Afrika mashariki, kati na kusini. Kuanzia Machame, Marangu hadi Rombo ni maendeleo matupu. Ingawa kwa sasa wanapelekewa moto kibiashara na wakinga ila wachaga kimaendeleo ni habari nyingine. Hakuna kabila linalowasogelea.