Inabidi niige utaratibu huu wa kucheki salio. Nimeweka watu 10 kwenye tariff ya PAMOJA 10 ya zain. Nimekuja gundua jamaa mmoja ana-divert simu zake kwenda line ya mtandao mwingine. Inakula kwenye simu yangu, sio sh. moja kwa sekunde tena!
Wachaga bab-kubwa bwana; wahindi wanasema "hapana weka hela jicho yako hapana ona!" ikimaanisha "usiweke hela mahali ambapo jicho lako haliwezi ona"
Inabidi niige utaratibu huu wa kucheki salio. Nimeweka watu 10 kwenye tariff ya PAMOJA 10 ya zain. Nimekuja gundua jamaa mmoja ana-divert simu zake kwenda line ya mtandao mwingine. Inakula kwenye simu yangu, sio sh. moja kwa sekunde tena!
Wachaga bab-kubwa bwana; wahindi wanasema "hapana weka hela jicho yako hapana ona!" ikimaanisha "usiweke hela mahali ambapo jicho lako haliwezi ona"