Wachaga: Hili lina ukweli gani

Wachaga: Hili lina ukweli gani

Naskiaga ngera tuu ila sijaweza itofautisha. Ila mwenga ndo najua pombe ilolala.ktambua ni ile ta mwanzo kabisa inayowekwa ulezi ulopikwa. Inakua tamuuu
Nafikiri ni utofauti wa majina tu, hiyo mwenga sisi tunaiita ngera, na kitambua sisi tunaita kipfuo.
 
Jamani Wale wa kuanzia Rau madukani, Mamboleo, Mnini, na kishumundu ......Tukutaneni pale Mamboleo kwa Chuwa tujipange kwa ajili ya Xmas iyo kesho.....msikose maana Tarimo atakwepo, Chuwa atakwepo, Temba atakwepo, Njau atakwepo, Amedeusi atakwepo, Clemensii atakwepo, Yesu wangu eti Mama mankaaa na yeye atakwepo.... Kiruuuu......aika mbee, aika meku, aika monoko.
 
Kabisa mkuu...hii mume wangu akiona ataanza kukosa imani juu yangu ..bora tuendelee tu na story za mbege
Kabisa, huyu jamaa mbaya sana, sijui kwavile ameona kila kadi anayopata ya mwaliko ni ya mchaga anaolewa (sisi hatutoi kadi za mchango) akaona atafute mbinu ya kuvuruga mambo.
 
Back
Top Bottom