Wachaga: Hili lina ukweli gani

Wachaga: Hili lina ukweli gani

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niko makini sana mshiki, mbege inanipaga tu adhabu ya kwenda kupunguza maji kila mara tu, nahisi mbege inayoweza nilewesha labda iwe imechanganywa na bapa na ugoro.
Hahahahahahahahahah kuna mbege inaitwa ngera inalewesha bila hata ya kuchanganywa na bapa kaka sasa kama ndo unakunywa soon utaanza kuloose network.
 
Hahaha mbege inakupaje tena shida aisee wakati hapa niko na Walowezi (wazungu) wanaisifia balaa.

Ngera ni mbege iliyobaki alafu ikalala, (sijui nyie mnaiitaje) ikeloda kweli.
Naskiaga ngera tuu ila sijaweza itofautisha. Ila mwenga ndo najua pombe ilolala.ktambua ni ile ta mwanzo kabisa inayowekwa ulezi ulopikwa. Inakua tamuuu
 
Dah una moyo...me kwa Yale maumivu hata nikiona mtu anakunywa naogopa...kumbe kila ana kichwa chake hahahahahahahahahah
Hahaha sisi kwetu tuna kamsemo ketu "wari wumlare chi wopusuo pfo"
(Mbege iliyolala haimwagwi)

Sema wewe itakua ulikosea masharti ya kuanza, kama unaanza unatakiwa uchanganye ngera na fresh mbege au unga ulioiva ambao umebaki, then kidogo kidogo baadae utazoea.
 
Hahaha sisi kwetu tuna kamsemo ketu "wari wumlare chi wopusuo pfo"
(Mbege iliyolala haimwagwi)

Sema wewe itakua ulikosea masharti ya kuanza, kama unaanza unatakiwa uchanganye ngera na fresh mbege au unga ulioiva ambao umebaki, then kidogo kidogo baadae utazoea.
Dah basi itakuwa nilichapia aisee..yaan sitaki hata kuisikia...
 
Back
Top Bottom