Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
lara 1 njoo ujibu tuhuma za Bujibuji huku. Au ni tuhuma zinazoendana na ukweli??
picha tafadhali
bila condom ina raha yake bwana ..tena ukipige kiwiziwizi na nguo mchana
1. Umepatwa na ugonjwa wa zinaa, unaulizwa ilikuwaje umeukwaa wakati ulionekana ukinunua kondom??? Jibu,..... Kondom ilipasuka, (moyoni unajua fika kuwa kondom uliisunda chini ya mto)
2. Umempa demu wako FaizaFoxy, mimba ya bila kutarajia, ukiulizwa, unasingizia condom, kondom ilikuwa inanipwaya ikanivuka katikati ya majamboz.
Haya ndio maisha yetu watumwa wa ngono zembe.
CC:-
Kaizer, Arushaone, Asprin, Madame B, lara 1, LiverpoolFC, Boflo, watu8, Mwita Maranya, mwaJ, Kipaji Halisi, Mtambuzi, ndyoko, NGULI, mwekundu, Mamndenyi, chama
Tangu nizaliwe nshakutana na wanawake zaidi ya 208 na hakuna hata mmoja aliyenilazimisha nitumie kondom. utumiaji wa kondom ni uamuzi wa mwanaume. baaas
kwahiyo kuacha kuvaa,ni sehemu ya ibada!!!UNDERLINE
Hah!!!
naona kama kawa bibie wa macho ya kipekee......
Aaaaa! Mimi nimestuliwa na hilo la ibada maana sikulifahamu before!
ooh walio wazima wanafaidi