Wacha tu tuzisingizie condom

Umempa Smile mimba: "Kwa nini hamkutumia condom?" "Aliniambia yuko safe days!" (kumbe in real sense uliibeba ila ukaiacha inaning'inia kwenye mfuko wa jeans)
bila condom ina raha yake bwana ..tena ukipige kiwiziwizi na nguo mchana
 
1. Umepatwa na ugonjwa wa zinaa, unaulizwa ilikuwaje umeukwaa wakati ulionekana ukinunua kondom??? Jibu,..... Kondom ilipasuka, (moyoni unajua fika kuwa kondom uliisunda chini ya mto)

2. Umempa demu wako FaizaFoxy, mimba ya bila kutarajia, ukiulizwa, unasingizia condom, kondom ilikuwa inanipwaya ikanivuka katikati ya majamboz.
Haya ndio maisha yetu watumwa wa ngono zembe.
CC:-
Kaizer, Arushaone, Asprin, Madame B, lara 1, LiverpoolFC, Boflo, watu8, Mwita Maranya, mwaJ, Kipaji Halisi, Mtambuzi, ndyoko, NGULI, mwekundu, Mamndenyi, chama

Tangu nizaliwe nshakutana na wanawake zaidi ya 208 na hakuna hata mmoja aliyenilazimisha nitumie kondom. utumiaji wa kondom ni uamuzi wa mwanaume. baaas
 
Last edited by a moderator:
Tangu nizaliwe nshakutana na wanawake zaidi ya 208 na hakuna hata mmoja aliyenilazimisha nitumie kondom. utumiaji wa kondom ni uamuzi wa mwanaume. baaas

Asprin halafu likitokea la kutokea mwanaume ndio anabebeshwa lawama za kumuharibia mwenzake maisha, hata kama limama limemzidi umri mwanaume
 
Last edited by a moderator:
Mechi na ndomu huwa hata hainogi , bora tupimane ngoma halafu tupige meat kwa meat aseeeeh!!!!!!!!!!!
 
Ngoja mimi under 18 nisepe mtanikomaza bure halafu dadangu CHAMInglady asijenikuta akaenda kumwambia mama.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom