Wacha tu tuzisingizie condom

Wacha tu tuzisingizie condom

Binadamu kwa kukopi na kupesti ni kiboko. Mliwaona mbwa, mkaiga style yao mkaita dog style. Sasa mnaona kobe wana magamba mnataka muwaige.
Ndio maana hamsikii utamu

aya Bujibuji me najua hiyo kitu kuivalisha mifuko ya rambo ni kuinyima hewa bwana....
 
Kosa la marehemu baba.........,kosa la marehemu mama............
 
duuuuhh, mkuu umefika huko kumtolea mfano FaizaFox?
heri mi sitamtaja
 
Wakati wa ku do huwa kama chizi tu, tangu lini chizi akachukua tahadhari???
 
Wakati wa kugegeda huwa kama chizi, tangu lini chizi akachukua tahadhari??
 
Umempa Smile mimba: "Kwa nini hamkutumia condom?" "Aliniambia yuko safe days!" (kumbe in real sense uliibeba ila ukaiacha inaning'inia kwenye mfuko wa jeans)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom