Wabunge wawili wa Viti Maalum CHADEMA wahamia NCCR Mageuzi

Huna akili
In God we Trust
 
Dar code ..wanawake kama hao kula kisamvu mapema... hawawezi kutapika kama hivi
 
Ndoto za usiku for 2020! Let’s keep waiting!
 
Kwani uchaguzi mkuu ujao umeshapita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado una imani na wanasiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka Akili zimkae sawa DJ Mbowe endapo anadhani wanachama wake wananunuliwa bila kutafakari atabaki Yeye na Hilda
 
Swadakta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri ni kwamba Mungu hatamuacha mbowe mpweke na mkiwa na atazidi kumuimarisha USALITI una malipo siku zote ni swala la muda mbowe kamanda kuwa na moyo mkuu wewe pamoja na wote mtakaosimama imara wengi wtanzania wengi wanawaunga mkono jasho na damu vilivyomwagika kwa kuijenga chadema havita potea bure.
 
Pia inanifundisha kwamba watanzania sio watu wa kuwaamini maana viongozi ndio taswira ya sisi wengine Kama taifa haiwezekani Mambo ambayo chadema wamefanyiwa mpaka kuuwawa Leo hii unaenda kwa mtesi wako haiwezekani kabisa hata ile kanuni ya Kama huwezi shindana nao ungana nao sidhani Kama inafaa hapa.
 
Uvccm shtukeni Hawa hamahama wako kimaslahi msifurahie kuhama kwao mkidhani mnaibomoa chadema ukweli ni kwamba wanakuja kuchukua nafasi zenu za ubunge na ukuu wa wilaya nyie mtàachwa yetu macho.
 
Kimsingi jwtz inatakiwa iangalie huu mchezo wa USALITI maana kiongozi hatakiwi awe hivi Sasa jeshi linapoajiri vijana wetu lijue pia tabia asili ya watanzania ni USALITI na majeshini USALITI hautakiwi.
 
Huyo Esther Bulaya muda so mrefu nae anaunga juhudi! Stay tuned!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…