Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
duu pole sna mkuu....baada ya matokeo ya ubunge ya 2015,kama jimbo langu bado litakuwa na M'bunge wa magamba,nahamia jimbo la m'bunge wa CDM!!
duu pole sna mkuu....baada ya matokeo ya ubunge ya 2015,kama jimbo langu bado litakuwa na M'bunge wa magamba,nahamia jimbo la m'bunge wa CDM!!
Mbona hata CCM mlijaribu kuwafanya maandamano sema ya kakosa watu...au maandamano yanayofanywa na CHADEMA ni yapi na yanayofanywa na Nape na Mukama ni yapi...Watanzania ni waelewa sio waoga wanafaham uchungu wa nchi hii hawataki kuharibu nchi yao. Mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia maandamano
acha uongo. mazingira gani hayo ? ina maana wabunge wako wa chadema huwa wanakaaga juani huku wa ccm huwa ndani kwenye a/c? fafanua zaidi
Hivi wabunge wa CCM wakoje lakini?wanatuonaje sisi wananchi?hawataki kabisa kusikiliza hoja za msingi,wao wanachokisimamia kila siku bungeni na kukiona ni hoja nzuri ni maslahi yao na kutafuta namna ya kutunyonya,ACHENI UPUMBAVU USIMUONE KOBE KAINAMA ANATUNGA SHERIA.
wabunge wa upizani wanafanya kazi ktk mazingira magumu sana na hawa mafisadi lakini wa kulaumiwa ni sie tunaowachagua wanakuwa wengi wanatuburuza.mie huwa nafikiri hizi roho zao sijui zinaujasiri namna gani ndio maana watu waliozoea kushangiliwa kama kina shibuda mnaona utumbo wanaouongea
Watanzania ni waelewa sio waoga wanafaham uchungu wa nchi hii hawataki kuharibu nchi yao. Mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia maandamano
Message sent and delivered !
Kuna mmoja jana alikuwa anatetea polisi kutumia mabomu ya machozi na maji ya washasha eti angeshangaa kuona polisi kutumia vitu hivyo kwa wanyama ila kwa watanzania wanaodai haki zao ni sawa.
unajidhalilisha kwa kutumia Id nying mjinga wewe,nyambafffuu....!!acha uongo. mazingira gani hayo ? ina maana wabunge wako wa chadema huwa wanakaaga juani huku wa ccm huwa ndani kwenye a/c? fafanua zaidi