Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,502
- 1,047
Katiba nzuri inafanikisha haya yote,watu wana Uhuru wao na rais Hana nafasi ya kujimwambafai mwambafai,Wana Afrika mashariki tubadili mifumo ya uongozi katika mataifa yetu husika ili tuwe na Uhuru kama wa wakenya ,hakika Kenya ni nchi ya kuigwa kwa Mambo mengi haswa uongozi ulio nyooka.View attachment 1264138View attachment 1264135
View attachment 1264137