Wabunge waliojiongezea mshahara hawajamchangia Rais Samia fomu. Walimu wanao lipwa pesa ya pipi wanamchangia fomu

Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti kumchangia Raisi Fomu ya Uraisu na zike taasisi za umma zinazo lipwa vyema hawana hio time. Na walimu wanafanya hivyo wakiamini kwamba atawaongezea mishahara wawe sawa na wabunge.

Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.

Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.

Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.

Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.
Kama kawaida ya Ccm,
Bunge lime kanusha hawaja jiongezea mishaha.
Ila hawaja sema wana lipwa shilingi ngapi.
 
Watu wajinga wanalalamikia walimu buure na kulazimisha waonekane wao ndiyo sababu nchi kudoda!!
Nchi hii inahitaji katiba ambayo viongozi watakuwa siyo watawala na hawako juu ya Sheria na nchi hii siyo miliki Yao...
1.) Walimu hawakuleta hii katiba ambayo rais ndiyo anaamua aongeze mshahara au aache na huna chakumfanya.
2.) Walimu hawakuleta katiba ambayo rais ndiyo huteua ampendaye Kwa cheo atakacho na humfukuza muda autakao.
3.) Walimu hawawezi kuandamana kwani kadagani imewahi kuandamana? Wakulima,wafugaji,wafanyabiashara lini wameandamana?
4.) Walimu hawakuleta katiba inayomruhusu rais kukuweka ndani atakavyo ama viongozi wahovyo kukuteka na kukutesa apendavyo!!
5.) LISSU alipigwa risasi nani aliandamana kupinga? Ni walimu walipaswa kuandamana?
6.) Chuo kikuu vijana wameshindaga njaa hawana pesa yakula wengine wanajiuza nilini waliandamana?
Wapumbafu muache kusemasema walimu wetu huku hamna mnachofanya zaidi ya kuandika upuuzi as if wewe ndiyo unaakili saana.
Mifumo yakikatiba imefanya kilamtu kuwa chawa ili aweze kula!!! Sasa hapo unalaumu walimu wanaojichawisha ili wafikiriwe kikipato vipi,tulitaka wafanyaje kama hakuna namna yawao kusaidika zaidi yahiyo?
Enzi za Ukoloni Wafanya kazi walipigania uhuru kwa katiba mbovu ya kikoloni, shida ni sio katiba shida ni uzezeta
 
Mnaoaminigi hizi habari akili zenu huwa hazipo sawa, wanasiasa ni watu wa kuwaamini???

Unakumbuka wale wamasai wa mchongo ngorongoro??
Wauza madafu ikulu?
Kinachofanya uamini waliochanga ni walimu ni kipi hasa?
 
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti kumchangia Raisi Fomu ya Uraisu na zike taasisi za umma zinazo lipwa vyema hawana hio time. Na walimu wanafanya hivyo wakiamini kwamba atawaongezea mishahara wawe sawa na wabunge.

Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.

Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.

Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.

Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.
Umelopolopo

Hakuna mshahara ulioongezeka
 
hyo fomu ni bilion ngap ambayo rais hana uwezo wa kuitoa, mpaka watu wajifanye kumchangia, kwanza muda wa hizo endorsment haujafika, shobo za wabongo ni too much.
 
Watumishi wa umma ni kikundi fulani cha wapuuzi .wajinga na wasiojielewa . Wenyewe hujiona wenye bahati kuajiriwa na serikali huki wakilipwa vilaki 5 vyao na kuwa wahanga wa madeni ya NMB
 
Mkuu walimu sasa hivi wamechachamaa kila siku watoto wanatumwa 200 za tuisheni.walimu wana hali tete.
 
Kumchangia Mama Samia hela ya fomu ni jambo jema ila kwani fomu siku hizi ni Tsh 120m? Ninavyojua ni milioni 1 tu.
 
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti kumchangia Raisi Fomu ya Uraisu na zike taasisi za umma zinazo lipwa vyema hawana hio time. Na walimu wanafanya hivyo wakiamini kwamba atawaongezea mishahara wawe sawa na wabunge.

Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.

Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.

Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.

Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.
Walimu wamelipia ombi lao wasisahaulike kwenye kusimamia uchaguzi ujao.
 
Back
Top Bottom