fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Aisee yani unasema Jairo ni "effective and efficient civil servant" kama ndivyo basi nchi hii imekwishaKatibu Mkuu wa Wizara kuandika barua kama ile ni lazima alikuwa amepata idhini through a File Minute ya Waziri kuafiki prposal hiyo. Kwa hiyo nadhani Ngeleja aliposita kujibu juu ya hili swala ana hofu zake. Lakini watakuwa wanamtoa kafara huyu Katibu Mkuu kama watamfukuza kazi kwa shauri hili kwa sababu mashirika na wizara nafikiri zote zina kasma ya ku-lobby wanasiasa na wabunge. At the end of the day budget ya wizara hii itaongezwa baada ya kupitiwa upya kwa hiyo matumizi hayo yatakuwa yamekuwa effective although through unquestionable means. Pia kuleta barua hii bungeni inaweza kuwa ni moja ya intrigues among senior civil servants hasa ukizingatia kuwa huyu Jairo ni mmojawapo wanaosemekana kufikiriwa katika nafasi ya Katibu Mkuu wa Raisi baada ya kustaafu kwa huyo wa sasa. Hili litamchafulia faili lake huyu Jairo - ambao baadhi ya wanaomfahamu wanasema ni effective and efficient civil servant.