Hawa viongozi wa dini wanaoingia kwenye siasa huwa wana wa confuse sana wafuasi wao.
KUna mtu unakuta anampenda sana huyo mama kiimani anasali hapo kwake lakini bahati mbaya sio mwana CCM ni Chadema mfukurukutwa dah! sasa hapo sijui inakuwaje.
Hawa viongozi wa dini wanaoingia kwenye siasa huwa wana wa confuse sana wafuasi wao.
KUna mtu unakuta anampenda sana huyo mama kiimani anasali hapo kwake lakini bahati mbaya sio mwana CCM ni Chadema mfukurukutwa dah! sasa hapo sijui inakuwaje.
Ukweli ni kwamba karibu viongozi wote wenye akili timamu wako humu ndani asiyekuwemo ni yule asiye na akili tyimamu tu maana kama we ni mwanasiasa makini lazima ujue nini kinajenga ama kubomoa mwanasiasa
Hawa viongozi wa dini wanaoingia kwenye siasa huwa wana wa confuse sana wafuasi wao.
KUna mtu unakuta anampenda sana huyo mama kiimani anasali hapo kwake lakini bahati mbaya sio mwana CCM ni Chadema mfukurukutwa dah! sasa hapo sijui inakuwaje.
Ukweli ni kwamba karibu viongozi wote wenye akili timamu wako humu ndani asiyekuwemo ni yule asiye na akili tyimamu tu maana kama we ni mwanasiasa makini lazima ujue nini kinajenga ama kubomoa mwanasiasa