Wabunge wagoma kusalimiana

kiukweli hawa wabunge wa chama hiki ni vilaza sana
 
Kitila Mkumbo amewashauri wanasiasa wa upinzani wabadilishe style ya upinzani kipindi hiki ch Magufuli.. Magufuli ni nyakati nyingine compare to JK
 
Mnafiki anapo kuja kukupa salamu za kinafiki unategemea jamaa yako alipo jirani afanye nini ndiyo kinachoonekana hapo
 
Muwatukane matusi ya nguoni ndani ya Bunge, kisha wakiwa nje mjibaraguze eti mnataka kuwasalimia!!! Ujinga wenu pelekeni mtaa wa lumumba.


 
Wao ukawa wakitaka wakomeshe zaidi watembee bila nguo hiyo itakuwa nzuri zaidi.
 
mwisho itafikia wataanza kuwekeana na sumu kwenye vyakula ,hili jambo sio dogo kihivyo
 
ata mimi ccm sishirikiani nao toka walipomuua Mawazo..ata akifa mtu wa ccm mtaa wa pili siendi..na mm nikivuta wasije
 
sentensi ya mwisho inasema "UKAWA MANA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA CCM". Jamani kumbe ndivyo mfanyavyo muwapo bungeni!, ndio maana wabunge wakiume wa CCM wanawasilimia sana wabunge wa kike wa UKAWA and viceversa imegundulika. Kama bunge lisemapo kuwa WANACHUO wanajiuza, makahaba etc sasa tutasema WABUNGE wanajiuza, makahaba etc ili iwe sawasawa, tofauti hapo naona ni HADHI YA UKAHABA, HADHI YA KUJIUZA
 
Acha wapitane kimya tu maana ni dhambi kusalimiana na msaliti wa wananchi kwa kupitisha vitu kutoka mhimili mwingine.
 
Kama mtu anakudharau una haja gani ya kujipendekeza kumsalimia?
Mwasisi wa kejeli na dharau ndio mwenye say na kila kitu.
Poa tu.Ila isifikie kwa wanachama kwanza.!!
Wanachama wataiga kutoka kwa kitendo wanachofanya viongozi wao,wao wapinzania wanadhani wanamkumoa madame spika kumbe wanajikomoa wenyewe na wao ndio wameanza kupandikiza mbegu za chuki na tabia mbaya ,sidhani mtu kama mimi ambaye ndie mpiga kura kususa kwao kunanisaidia kitu ,hapa wanaoumia sio CCM na serikali yake bali wapiga kura majimboni,na sasa ndio tunajua kwamba mpiga kura hana haki na mbunge wake bali viongozi wa vyama ndiowana haki na hao wabunge..
 

...kumbe alikuwa anamuomba Mh Msigwa amjazie majibu kwenye karatasi...hihihihihihihihi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…