Wabunge wa zamani walikuwa hamnazo kabisa!

Deo Corleone

JF-Expert Member
Jun 29, 2011
16,927
13,011
Nimesoma gazeti la raia mwema la wiki iliyopita, kuna article ya mihangwa ina sema kuwa baadhi ya wabunge walisema bungeni kuwa wawe wanapigiwa saluti na polisi. Mwingine akaua akasema wawe wanapewa majina ya mitaa,kwa mfano mtaa anaokaa saint ivuga upewe jina la lusinde wa mtera au john komba! Au mtaa wa kina ms upewe jina la lema, yani kuwe na lusinde street, lema street n.k
 
Nimesoma gazeti la raia mwema la wiki iliyopita, kuna article ya mihangwa ina sema kuwa baadhi ya wabunge walisema bungeni kuwa wawe wanapigiwa saluti na polisi. Mwingine akaua akasema wawe wanapewa majina ya mitaa,kwa mfano mtaa anaokaa saint ivuga upewe jina la lusinde wa mtera au john komba! Au mtaa wa kina ms upewe jina la lema, yani kuwe na lusinde street, lema street n.k

Kwa mpango huo mitaa ingekuwa inabadilishwa majina kila baada ya miaka mitano!
Kwani kila mbunge mpya anayechaguliwa angedai mtaa wake, na hapo hapo
ukumbuke kuwa idadi ya wabunge inaongezeka kila kukicha kwani wanaongeza
majimbo ili kupeana ulaji...
 
sorry kwa kubadili sredi

Katika Bunge la Tanzania tokea lianzishwe halijawai kuwa na kilaza anayemzidi LUSINDE kwa ukulaza

Mama mzazi wa LUSINDE nadhani anajiskia aibu kila huyu mwanao anaposhika kipaza sauti
 
sorry kwa kubadili sredi

katika bunge la tanzania tokea lianzishwe halijawai kuwa na kilaza anayemzidi lusinde kwa ukulaza

mama mzazi wa lusinde nadhani anajiskia aibu kila huyu mwanao anaposhika kipaza sauti
wapo but lusinde ni zaidi yao,
 
Mandela Road
Mkapa Bridge
Kikwete Secondary
Ally Hassan Mwinyi Road
Lusinde Street

Yaani tabu tupu. hii itakuwa ni kubaka asili ya mtanzania.
 
Wachague majina ya viungo tuwape. Mwenzao masaburi kashapata lake. Lol.
 
Back
Top Bottom