Geofray Kaswiga Jr
Member
- Jun 30, 2015
- 11
- 0
kibonde sio kosa lake alipata div 0 form six
laivu qaqa?
kibonde sio kosa lake alipata div 0 form six
Kumbe anaumwa ngwengwe?
Are you serious au na wewe ni type ya Kidonde!Unapokuwa verified member nadhani unatakiwa uwe mahiri ktk michango yako JF.Ulifuatilia kujua hili sakata lilianzia wapi pale wabunge wote bila kujali vyama vyao walisemaje?Je ulifahamu kilichotokea siku iliyofuatia pale aliposimama mh.Mnyika akirejea maamuzi ya wabunge siku iliyotangulia?Baada ya mnyika kupinga kuwakilishwa kwa hati ya dharura ulielewa hatua walizopitia wabunge wa upinzani kabla ya kufikia hatua hii ya mwisho?Hivi mnaweza kunambia kwa nini walitoka bungeni ama kudai bunge liahirishwe badala ya kuomba mwongozo Bunge lizungumzie janga lililotokea na jinsi gani kuunda tume haraka walishughulikie?
laivu qaqa?
Kwani ilikuwa lazima yeye kusema? Angekaa kimya angepungukiwa nini?Nyie mlitaka awasifie ndio aonekane anafaa? Acheni hizo bana. Kwanini asifie upumbavu?
kumbe mgonjwa???anatumia ARV kwani???ARV ndo zlivyo