Wabunge wa upinzani hamjatumwa bungeni kuzomea

Kuzomea (booing), kugoma (go slow) na kutoka nje (walk out) ni matokeo (effects) ambayo hayana budi kuwepo kama kuna kitu kilichoyasababisha (cause). Watu wote makini wanajikita zaidi na visababishi (causes) ili kuzuia matokeo yasiyotakiwa. Kwa vile hili jukwaa ni la kuelimishana, namshauri mtoa mada asome kuhusu kanuni ya visababishi (Principle of Causality) halafu arudi kuifanyia marekebisho post yake.
 
Ili msiendelee kuzomewa mwambie yule amiri jeshi pale magogoni aondoe jeshi lake Zanzibar na awaache wamtangaze aliyechaguliwa na wananchi, dhulma mnapenda ila kuzomewa mnapofanya dhulma hampendi, na Mimi nakuzomea.. HILOOO KUBWA JINGA LINATETEA WEZI, HALINA AIBU HUYOO MZOMEENI!!!!.....:lock1: nitumie sergeant at arms buku saba ww
 
Back
Top Bottom