Mkiambiwa Mmetolew UBONGO Mnachukia kwa Hoja yako ya Kijinga kama hiiHAKUNA MBUNGE ALIYEVULIWA UANACHAMA NANI KAKUAMBIA WAMEVULIWA? WANGEKUWA WAMEVULIWA USINGEWAONA BUNGENI
Mkiambiwa Mmetolew UBONGO Mnachukia kwa Hoja yako ya Kijinga kama hiiView attachment 1895643
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Duh kwa kili hizi tutafika kweliHAKUNA MBUNGE ALIYEVULIWA UANACHAMA NANI KAKUAMBIA WAMEVULIWA? WANGEKUWA WAMEVULIWA USINGEWAONA BUNGENI
Suala je Rais halitambui hili au kamasusia ndugaiIpo siku watazilipa hizo ela za walipa kodi wanazolipwa uko bungeni
kweli wewe ni boya kweli kweli ndiyo maana mnambambikizia Mbowe kesi kuwa ni gaidi kwa sababu mchango wa CHADEMA nchini hamuuthamini hata kidogo hata kwenye ilanio yenu ya chama cha mapinduzi chadema siyo chama cha siasa.HAKUNA MBUNGE ALIYEVULIWA UANACHAMA NANI KAKUAMBIA WAMEVULIWA? WANGEKUWA WAMEVULIWA USINGEWAONA BUNGENI