Aongoze nchi vizuri nchi kwa kusimamia raslimali zitumike kwa manufaa ya watanzania wote!Marekani imemuombeaje Magufuli?
Wamemuombea kuhusu nini? Wachukue hela, arudie uchaguzi Zanzibar au mapepo yamtoke?Hawa ndio aina ya wabunge Kutoka marekani ambao Tanzania inawataka sio wale wanaokuja kuja kushinikiza mambo ya USHOGA NA USAGAJI.
Tunashukuru kwa maombi waliyoomba na watakayoendelea kumwombea Magufuli na kuiombea Tanzania.Na waendelee tu kuja kuomba na watuombee pia wakiwa Marekani.
Imekuwa kanisa tena zile kanisa mbaoMarekani imemuombeaje Magufuli?
Ila Tanzania ndiyo inayoyapenda hayo maombikuna maombi mengine mungu anaweza asiyapokee
Kwani Trump ni mbunge?Hivi mtu kama Trump anamjua Magufuli kweli japo hayupo kwenye serikali ya Marekani?
Magazeti ya Tanzania waandishi wao kubebesha headlines ili magazeti yanunuliwe tu hakuna la zaidi
Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Repiblican Donald Trump aliishasema walikaa sana na Rais Peter Mutharika huko USA wakifanya kazi ofisi moja anamjua, na akaapa Mutharika ni mtu asiye na uwezo hata wa kuongoza chuo lakini leo huku Afrika ni Rais. Akasema akibahatika kuwa Rais wa USA lazima amng'oe hafai.Hawa Maseneta walikuwa 9. Walipitia Ikulu ya Lilongwe(Kamuzu Palace) na kukutana na Rais Prof. Arthur Peter Mutharika wa Malawi. Walifanya naye mazungumzo na waliahidi kumwombea kwa mungu pia.Waliongozana na Balozi wao nchini Malawi Virginia Palmer.. Ijapokuwa kulikuwa na tuhuma kuwa Palmer alikuwa akiwaunga mkono wapinzani wa Mutharika. Mkutano wenyewe ulikuwa mzuri na utani mwingi kuonyesha kutoaminiana na Balozi kumekwisha. Prof. Mutharika pia ameishi sana Marekani na ana wajukuu huko..