mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 680
Wabunge wa Kenya wataanza kukatwa kodi ya mishahara yao, ni utekelezaji wa Katiba mpya..
Kenya mbona wana akili mingi sana kutuzidi?...Mi nadhani mipaka iliyowekwa na wazungu ilimaanisha kitu fulani zaidi ya kuwarahisishia kututawala.Wabunge wa Kenya wataanza kukatwa kodi ya mishahara yao, ni utekelezaji wa Katiba mpya..