Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 572
- 2,548
Hazina ya Kitaifa ya chini Kenya kupitia muswada wa Fedha ambao utawasilishwa Bungeni hivi karibuni imependekeza kuwa per diem za wafanyakazi wa Serikali wanazolipwa kwenye vikao na shughuli rasmi za Kiserikali sasa zitaanza kukatwa kodi.
Pia, Muswada huo unatoa pendekezo la kuanzishwa kwa kodi ya zuio kwa Watoa Maudhui mtandaoni.
Hii itahusisha maudhui yote yanayotolewa kwenye tovuti, mitandao ya kijamii pamoja na makubaliano ya utangazaji wa “brands” na bidhaa za makampuni zinazofanyika mtandaoni.
Pia, Muswada huo unatoa pendekezo la kuanzishwa kwa kodi ya zuio kwa Watoa Maudhui mtandaoni.
Hii itahusisha maudhui yote yanayotolewa kwenye tovuti, mitandao ya kijamii pamoja na makubaliano ya utangazaji wa “brands” na bidhaa za makampuni zinazofanyika mtandaoni.