Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Wasalaam wana jamvi!
Wabunge wa Chadema wakiongozwa Na Hahonga wamerudisha posho walizo lipwa na kupima corona kama walivyotakiwa na spika!
Mbunge Hahonga amesema yeye ametimiza masharti ya bunge yote yaliyo wekwa ili aweze kuingia bungeni ikiwa ni pamoja na kupima Corona na kurudisha posho aliyotakiwa kurudisha na anayo risiti na ameruhusiwa kuingia bungeni kuwatumikia wananchi wake!
Mbunge Hahonga amekuwa wa kwanza kutii masharti ya spika na yaliyowekwa na bunge baada ya wabunge hao kulikimbia bunge!
Hivyo Nichukue nafasi hii kuwapongeza wabunge wa chadema kwa kutii sheria bila shuruti!
Wasalaam
Chanzo: Clouds Fm
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wabunge wa Chadema wakiongozwa Na Hahonga wamerudisha posho walizo lipwa na kupima corona kama walivyotakiwa na spika!
Mbunge Hahonga amesema yeye ametimiza masharti ya bunge yote yaliyo wekwa ili aweze kuingia bungeni ikiwa ni pamoja na kupima Corona na kurudisha posho aliyotakiwa kurudisha na anayo risiti na ameruhusiwa kuingia bungeni kuwatumikia wananchi wake!
Mbunge Hahonga amekuwa wa kwanza kutii masharti ya spika na yaliyowekwa na bunge baada ya wabunge hao kulikimbia bunge!
Hivyo Nichukue nafasi hii kuwapongeza wabunge wa chadema kwa kutii sheria bila shuruti!
Wasalaam
Chanzo: Clouds Fm
Sent from my iPhone using Tapatalk