Wabunge wa CHADEMA wachoshwa na wizi wa Mbowe kupitia akaunti yao maalum ya uchaguzi 2020

Papaa Muu

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
243
292
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
Kama ameiba,awajibishwe,ila lakini tuanze na wanaoiba pesa ya umma,
Majizi kama,Prof Tibaijuka,Chenge,Ngereja,Watumishi wa ikulu kipindi cha JK waliochota pesa kwenye viroba kutoka stanbic bank,yakamatwe kwanza,ni matusi makubwa hawa watu kuendelea kuwa uraiani,waliyekula nae,mzee Rugemalila yupo ndani,kwanini hawa wapo nje.
Mi nafikiri tuanze na hawa kwanza
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
In Tanzania we need to politicalification our Parties as it looks like we have got political parties but in real sense the vice versa is true. People are owning these parties for their benefits.
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.

Mkuu huna jipya uliloandika, au wakati hayo yakiandikwa na kujadiliwa ulikuwa jela nini? Kwa propaganda hii ya kizamani inaonekana ww utakuwa ni mzee lazima.
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
CHADEMA MBOWE 600 MILION CCM TRION 2.4 😅😅😂😂😃😃😄😄😉😉 LACK OF OBJECTIVITY.

MWAGA POMBE ! POMBE SIO CHAI !
 
Bora huo wizi wa mbowe kuliko nyie mnao waibia wanyonge wauza maandazi na vitambulisho vyenu msivyo na haya
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
Magamba mtahangaika sana. Na yakikauka hayo magamba mtachomwa moto.
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
Counter attack ya press ya juzi ya pale Arusha
 
Usually, old bloom sweeps all corners while the new once sweeps well.
Kupanga ni kuchagua you can either choose the new or old bloom correspondingly to your demands or needs!!
 
Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.

Wewe ni mpumbavu hata mwenyekiti wenu alishasema ukiwa ccm lazima uwe mpumbavu.
CAG alishafanya kazi yake na hayo yote hakuyaona?
 
UPUUZI MTUPU! Weye buku 7 naona uko kwa kazi maalum huyu ya kuanzisha UZUSHI. Bila ya shaka una uhusiano na yule mhuni na mwendawazimu MSIBA.

Mwakibinga,PhilipoTz.

Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye mnyonyaji pekee anayefumbiwa macho na WANACHADEMA. Kwasababu pamoja na kashfa hizi eti bado ni Mwenyekiti wa Chama Taifa.

Kashfa na tuhuma za kutumia pesa zinazotokana na michango ya Wabunge kutoka akaunti maalum ya wabunge kwa ajili ya kampeni za 2020 ni jipu linalowaumiza Wabunge wa Chadema japo wanaogopa kusema.

Hadi sasa taarifa za uhakika zinaonesha Mbowe ametumia kiasi cha 600 milion ambapo kazitumia kulimia mashamba yake binafsi Ifakara Morogoro mashamba hayo yalikuwa yanasimamiwa na msimamizi wa Mbowe aliyekuwa Diwani wa kule yaani Ndugu, Godifrey Rwena ambaye hata hivyo aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha. Kwa bahati alinyang'anywa mashamba hayo.

Mwaka 2015 kuna pesa zilitolewa na Wahisani ambao walijulikana kama Wajapani marafiki wa Gwajima, akanunua Muziki, na Magari ya Kampeni. Lakini baada ya kampeni kuisha akaamua kujimilikisha mali za chama kwa kuandika jina lake katika documents za mali hizo.

Kashfa nyingine ni ya Gazeti la Tanzania Daima la Tanzania daima na kulifanya mali yake binafsi ilihali pesa za kuanzishwa kwa gazeti hilo zimetoka kwa Wazungu kuisadia chadema kuwa na chombo chake cha habari lakini yeye amejimilikisha,

Tuhuma ya kugawa vyeo na madaraka kwa upendeleo: Amekuwa akilalamikiwa kwamba anambeba kimada wake J.Mukya kwenye Ubunge wa viti maalum kila Mwaka pamoja na mwanamama huyo kutokufanyakazi za Chama. Wanaofanya kazi za chama ni wengine na hawapati Ubunge kama ambavyo ilitakiwa.

Kashfa nyingine ni ile ya Mwaka 2015 alipounda kampuni akaisajili kwajina la shemeji yake na kuipa kampuni hiyo tenda ya kutengeneza mabango ya uchaguzi ambapo alichota milioni 700.
Katika Hali ya mshangao bado Wanachama na viongozi wa Chadema pamoja na Wabunge, wameshindwa kujitambua na kukisaidia Chama dhidi ya Mswati Mbowe.
 
Mtaji wa maskini ni nguvu zake....sasa maskini anapogeuza majungu kuwa ndiyo mtaji ni balaa..!!!
 
Mwakibinga tulikupa saport ya kutosha kipindi unagombea udom,na kipindi kile ulikuwa unajielewa wewe ulikimbia na zitto na later ukamkimbia zitto Sasa ivi upo ccm Sasa Mambo ya chadema yanakuhusu Nini? Hao anaowaongoza mbowe ni wasomi na wanajielewa let them talk na sio kuwasemea
 
Ukiwa verified user tafadhali kuwa na hoja si vioja! Unatutia aibu hata sisi tinaoshare mkoa please watasema watu wa huko wakoboaji kumbe ni U.p.u.m.b.a.vu wa mtu mmoja!
 
Hivi kumbe ni huyu dogo? Kumbe akili zake zipo hivi Duuu!
Mwakibinga tulikupa saport ya kutosha kipindi unagombea udom,na kipindi kile ulikuwa unajielewa wewe ulikimbia na zitto na later ukamkimbia zitto Sasa ivi upo ccm Sasa Mambo ya chadema yanakuhusu Nini? Hao anaowaongoza mbowe ni wasomi na wanajielewa let them talk na sio kuwasemea
 
Back
Top Bottom