only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Leo hii kuanzia mchana huu mida ya saa 8:00 hapa Rujewa kuna mkutano wa CHADEMA ambao unaohudhriwa na kuhutubiwa na Wabunge wote CHADEMA mkoa wa Mbeya.
Katika mkutano huu kuna uwezekano akawepo mzee Nyimbo toka Ilembula na kulingana na ratiba naye atapata fursa kutoa hotuba katika mkutano huu.
Watu wanamiminika kutoka sehemu mbalimbali za mji wa Rujewa na vitongoji vyake.
Hakika ngoma inogile hapa Rujewa Leo........
Katika mkutano huu kuna uwezekano akawepo mzee Nyimbo toka Ilembula na kulingana na ratiba naye atapata fursa kutoa hotuba katika mkutano huu.
Watu wanamiminika kutoka sehemu mbalimbali za mji wa Rujewa na vitongoji vyake.
Hakika ngoma inogile hapa Rujewa Leo........