KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Habari za ndani ya uongozi wa juu wa Chadema nilizopata hivi punde zinasema Wabunge wa Chadema waliomo katika kamati ya Nishati na Madini inayovunjwa wataitwa mbele ya vikao vya juu vya chama hicho kujitetea kwa tuhuma za rushwa na ikithibitika walihusika wataombwa wenyewe wajiuzulu ubunge. Wakikataa watafukuzwa uanachama mara moja bila kujali nyadhifa zao katika chama.
Naupongeza uongozi wa CDM iwapo watachukua hatua hii -- na itakuwa fundisho kwa kile chama cha rushwa ambacho kulindana kwao ndiyo utamadauni wao bila kujali athari kwa wananchi masikini.
[h=2]Kati Ya Zitto Kabwe na Mbatia Nani anafanya kazi ya Kikwete????[/h]
Zitto na baadhi ya wabunge wa CCM wadaiwa kuhongwa na menejimenti ya TANESCO