Wabunge wa CCM wameingia mitini

Wabunge wa CCM wameingia mitini

mheshimiwa Rosemary Kasimbi Kiligini viti maalum anasema; tuwe na timeflerm. hakuna utawala bora. pesa nyingi za serikali zinapote. naomba mikataba yote inayohusu madini na nishati iletwe yote tuipitie upya ili tuweze kuokoa pesa zinazopotea. hawa watu walio ibia nchi dci bunge lijalo inabidi atuwambie ni hatwa gani amechukua thidi ya wezi wa nishati na madini. wakati umefika kwa waziri husika kufanya maamuzi magumu. huu ndo wakati wa waziri kuact.
 
Wakuu ni kweli mshiko wa 330,000.00 kwa kuingia mjengoni per day umepigwa stop? na nikitu gani wabunge wa CCM hawataki kwenye mswada au ni kwasababu tu point wametoa CDM na wao waitwe Ikulu basi wafurai nchi inaendeshwa kitoto mmno
 
kiligini anasema cag inabidi bunge lijalo atuambie dola million 36 zimeenda wapi. kaunga mkono hoja.
 
Adam Malima anajibu kuhusu sekta ya gas. kaomba msamaha karudi kwenye kiti chake eti alipotelewa na macho. tunamsubili.
 
adam malima anasema;
kamati ilikuja na ushauri mzuri ambao ulinifurahisha sana hasa swala la kuboresha watendaji na kuhsus human resource.
 
Kwani kuna tofauti gani wakiwepo na wasipokuwepo, labda neno NDIYOOOOOOOOOOOOOO ndo litapungua tu lakini maadam walio wanatosha sana kupaza NDIYOOOOOOOOOOO!
 
hizo tofauti zilishamalizwa,na sasa mambo hayo hayapo tena.wabunge wa ccm na rais wao ni pete na chanda,acheni majungu
 
g4d.gas for development. anasema gas majumbani ni suruhisho kubwa sana. watu million 15 wanatumia mkaa kwa siku. nmefarijika sana hili na mh.zitto na Hamad. nasisi tumekuwa tunaliangalia hilo na tutalishughulikia. swala la kupeleka gas kenye tulisema wazi kwamba hatujasema kwamba tutaanza kupeleka gas nchi za east afrika. hiyo itakuwa baada ya kujitoshereza. bombe la kwenda kenya likichimbwa its fine.by Adam Malima.
 
structure adjastment;
ni jambo ambalo litafanyiwa kazi kwa halaka sana. ni lazima tuwe na specialize in accounting.
2. maswala ya kuvunja mikataba ni jambo zuri na wenzetu wengi wamelifanya. wanashria wakikaa chini wanaweza kulifanya. swala la kuchukulia hatua pale jambo linapopotoshwa bungeni. (kaongea kisiasa) by malima
 
Ccm na wananchi ni kama mbingu ilivyo mbali na dunia.
 
tanzania tunategemea ikifika 2018 tutakuwa gas exporters wakubwa duniani. sasa hivi tuna (10tcf)cubic mitrs. by adam malima. kamaliza
 
serikali na bunge bado ni kitu kimoja.hayo majungu ya wapinzani yataishia huko huko na muswada utapita
 
Ngerja anasetoa hoja kwa kuwashukuru wote walioshangia pia anashukuru kamati ndogo ya bunge ya nishati na madini.
*anataja majina ya wabunge wote waliochangia na anaenda faster siwezi kuandika yote.
 
Ngereja anasema;
katika michango ya leo kwanza tumepokea ushauri, maoni. mambo ambayo tumebaini ni kuhusu
*mswaada wa sheria wa gas uharakishwe.
*Udanganyifu wa pan africa anergy hatua za kisheria zichukuliwe. hili tutalifanyia kazi kadli inavyo weza. dola mil20.1 zingerudishwa ni kweli zingesaidia.serikali itakuwa makini na ipo makini na mikataba hii itapitwa tena na wale ambao watapinga hatuhitaji kuwa nao
*
 
Ngerja anaendelea kusema. tumebaini kwamba.
* ukarabati wa visima vyenye kutu. tumeshawambia pan africa wahakikishe gas ipo ya kutosha hata kama kutakuwa na ukarabati. hawa hawana pa kukimbila na mpango wa kurekebisha visima tunao
*uinalishwaji wa tpdc. tunataka ijiendeshe wenyewe. huu ndo mpango wa serikali. hawa ni agency ya serikali.
*swala la mkaguzi na mdhibiti mkuu. serikali haina matatizo kwa hili tutafanyia kazi
*hili la kujenga uwezo wa ndani zipo hatua kadhaa tumezifanya.
 
*Ngereja anaendelea kusema;
tumewaagiz audsm na udom waanzishe mitaala. tuna vyo vyetu wenyewe DIT Arusha, Veta.
*kua na mamlaka ya udhibiti. tunakubali. na tunao tpdc, watatushauri.
**kamaliza kujumlisha***
 
Hivi kwanini kila ikifika saa moja dakika tano tbc1 wanakata mawasiliano?
 
Wabunge wa CCM wanagoma kuingia mjengoni kwa sababu ya posho kukataliwa, lakini linapokuja suala la madaktari kugoma kwa kunyimwa haki zao wanasema madaktari hawana uzalendo. Sasa ni wapi na wapi. Nyani always anaona K.U.N.D.U la mwenzake, lake hilo jekundu kwa rangiyake halioni.
 
Back
Top Bottom