Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Ukihiyo wa wabunge wa CCM umelifanya Bunge kukosa radha ya Moja ya Mhimili Muhimu kwa Nchi na kukosa Sifa ya Chombo cha Wananchi badala yake limekuwa kundi la wanasiasa wenye sura ya kihuni na hivyo kuharamisha Bunge kwa sababu wapo kwa maslahi ya Chama na Serikali na si maslahi Nchina wananchi.
Na hii ni kutokana Ukweli kwamba Bunge letu lilijengwa na Wabunge waliopatikana kwa njia Haramu ya uchanguzi uliokuwa umejaa uharamia hivyo hawana cha kupoteza.
Ni wakati Sisi vijana kujipima akili na ufahamu tujiweke katika eneo muhimu tuwe walinzi wa Nchi yetu wenyewe!
AU
Tuendelee kuketi kimya na kufurahia maisha na kusambaziana video za ngono kwa Jina la CONNECTION kugawana Dhambi huku wanasiasa walioamua kuwa wahuni wakituuza Sisi na uzao wetu kwa makusudi. Na sie tupo tupo tukiimba Am Single Ooooh you know Am Single Ooooh na dada zetu na wakikata viuno huku wakiimba nasema Nani anaweza kulicheza Sagarhumaaaaaaaaa
Kesho siyo mbali wenye watakapotwambia muondoke hapa aridhi na Nchi hii si Mali yenu.
Na hii ni kutokana Ukweli kwamba Bunge letu lilijengwa na Wabunge waliopatikana kwa njia Haramu ya uchanguzi uliokuwa umejaa uharamia hivyo hawana cha kupoteza.
Ni wakati Sisi vijana kujipima akili na ufahamu tujiweke katika eneo muhimu tuwe walinzi wa Nchi yetu wenyewe!
AU
Tuendelee kuketi kimya na kufurahia maisha na kusambaziana video za ngono kwa Jina la CONNECTION kugawana Dhambi huku wanasiasa walioamua kuwa wahuni wakituuza Sisi na uzao wetu kwa makusudi. Na sie tupo tupo tukiimba Am Single Ooooh you know Am Single Ooooh na dada zetu na wakikata viuno huku wakiimba nasema Nani anaweza kulicheza Sagarhumaaaaaaaaa
Kesho siyo mbali wenye watakapotwambia muondoke hapa aridhi na Nchi hii si Mali yenu.