Wabunge wa CCM siwaelewi kwa mambo yafuatayo:
1. Wanapoteza muda mwingi kujadili suala la wabunge wa Chadema kususia hotuba ya rais siku ya uzinduzi wa bunge la 10.
Wenzetu wanachadema wametoka bungeni, wananchi tuliowachagua tunalifahamu hilo. Wananchi tuachieni jukumu letu, sisi tutaamua kama wanatufaa au hawatufai. Wabunge wa CCM kama mnataka kujadili hotuba ya rais jadilini hilo linatosha. Wabunge wa CCM mnapoteza muda wenu mwingi kumpongeza rais wakati sisi huku tunakabiliana na mgawo wa umeme. Matatizo yetu ni mengi kiasi kwamba kama wabunge wetu wangekuwa na akili timamu na muda wa kujadili wenzao.
Kwa kuangalia haraka haraka hotuba ile ya rais haikuwa na kitu cha maana kinachotoa mwelekeo wapi taifa letu lilipo na wapi linapaswa kwenda. Amezungumzia mambo kama nadhari katika vitabu. kama wabunge wanaogopa kupingana na rais wao bora wao wakae kimya.kumpongeza rais kwa sababu tu watu wanaona ni 'fashion' ni upuuzi wala si kazi iliyowapeleka bungeni.
1. Wanapoteza muda mwingi kujadili suala la wabunge wa Chadema kususia hotuba ya rais siku ya uzinduzi wa bunge la 10.
Wenzetu wanachadema wametoka bungeni, wananchi tuliowachagua tunalifahamu hilo. Wananchi tuachieni jukumu letu, sisi tutaamua kama wanatufaa au hawatufai. Wabunge wa CCM kama mnataka kujadili hotuba ya rais jadilini hilo linatosha. Wabunge wa CCM mnapoteza muda wenu mwingi kumpongeza rais wakati sisi huku tunakabiliana na mgawo wa umeme. Matatizo yetu ni mengi kiasi kwamba kama wabunge wetu wangekuwa na akili timamu na muda wa kujadili wenzao.
Kwa kuangalia haraka haraka hotuba ile ya rais haikuwa na kitu cha maana kinachotoa mwelekeo wapi taifa letu lilipo na wapi linapaswa kwenda. Amezungumzia mambo kama nadhari katika vitabu. kama wabunge wanaogopa kupingana na rais wao bora wao wakae kimya.kumpongeza rais kwa sababu tu watu wanaona ni 'fashion' ni upuuzi wala si kazi iliyowapeleka bungeni.