Wabunge tukimaliza na hili la madawa tunakuja na pembe za ndovu, hizo suti zenu zitawapwaya

Nimewashangaa wabunge kumaliza pumzi kwa kusema ndiooo! Badala ya kuandaa sheria kali kama CHINA ya kuwashughulikia wahusika watakaobainika wanajishughulisha na madawa ya kulevya.
Hahaha pembe za ndovu tena,naona mnataka kuanzisha ugomvi na akina fulani.
 
Msukuma alitamka kuwa bungeni drugs dealers wapo akipewa nafasi na mwenyekiti atawataja..IGP amuite Msukuma fasta ila kama IGP nae km ni msafi lile povu wanaotoka wabunge sio la bure dogo amewashika vibaya km vile marehem amina chifupa alivyotaka kuthubutu
 
Nimewashangaa wabunge kumaliza pumzi kwa kusema ndiooo! Badala ya kuandaa sheria kali kama CHINA ya kuwashughulikia wahusika watakaobainika wanajishughulisha na madawa ya kulevya.
Usisahau kale kainshu ka Dr Kigwangalla. Wahusika wahojiwe, kisha watuhumiwa watajwe hadharani. Nadhani Dodoma patachafuka!
 
Msukuma alitamka kuwa bungeni drugs dealers wapo akipewa nafasi na mwenyekiti atawataja..IGP amuite Msukuma fasta ila kama IGP nae km ni msafi lile povu wanaotoka wabunge sio la bure dogo amewashika vibaya km vile marehem amina chifupa alivyotaka kuthubutu
Huyu huyu aliyeomba bangi iruhusiwe?
 
Meno ya tembo na madawa ya kulevya, hizi ni shughuli za wana CCM! Yaani huwezi kuacha kuitaja CCM unapotaja hizo shughuli. Unakumbuka meli ya Kinana ilikutwa na meno ya tembo? Hiyo ndiyo CCM inayotetea wanyonge kwenye media, halafu kwenye giza inawa-stab to death wadanganyika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom