Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,259
natamani enzi za hamad rashid.mbowe kung'aa kazidiwa na mrema?!!
2015/2020 watafika Quinine?Hao ndugu zako wasahau waambie wasubiri next time may be 2015 or 2020 vyama vyao vitakapokuwa kambi rasmi ya upinzani.
Hii ndoa ni ya 2010-2015, baada ya hapo kambi rasmi ya upinzani itakuwa inaongozwa CCM sijui watmuweka zuzu gani.