Wabunge Nyota!

Tundu Lissu namba one. Anajua sheria ni mjasiri hana chenga.mguu anaita mguu sio kikanyagio. JM mmmhhh!
 
Ni kweli muongeze Lisu, nakubaliana na hao uliowataja.

Makamba?Sidhani kama anaweza kuwa katika orodha nyota alisikika nje ya Bunge kwenye kutetea Dowans na aliposimama Bunge ni pale alipotaka kupotosha kanuni za Bunge kuhusu lugha ya kuwahoji wagombea hadi Membe alipookoa jahazi.

Analysis yako kuhusu Mnyika pia ni wrong mtu anaweza kudhani labda ulitumia magazeti zaidi na si kuangalia moja kwa moja. Mnyika aliihenyesha sana Serikali hasa siku ya kupitisha muswada wa EPZ na alifanya interventions nyingi katika masuala ya maji, madini na uwekezaji, aliomba hata kuwasilisha hoja binafsi au maelezo binafsi mara kadhaa lakini sauti yake ikibinywa...Lissu ni mashine nyingine kama hukumuona basi futa thesis yako uanze upya
 
kuna wagombea walikuwa wanapangiwa maneno ya kuongea kwenye majukwaa,wananchi wakawaamini kuwa ni wapiganaji sasa subiri wataumbuka mmoja baada ya mwingine, na most of them kwa sasa waamejikita katika migogoro kwani akili zao zime hang wakisubiri kupangiwa maneno ya kuongea pale bungeni.Mntika hana uwezo wa kuwa mbunge,ambaye bado anamatumaini na mnyika asubiri ajionee. Ivi sugu kuna point hata moja aliongea bunge lililokwisha?

Mr. Mak, sasa naamini jumla kwamba michango yako humu imejaa chuki binafsi. Kama kweli umekuwa unafuatilia bunge huwezi kudharau au kubeza mchango mkubwa wa John Mnyika. Wananchi wa Ubungo na Tanzania kwa ujumla wamempata mbunge sahihi. Mwanasheria mkuu wa serikali Werema alikili wazi mchango wa Mnyika na alipokea marekebisho yake bila ubishi wakati wanajadili mswada wa wafamasia. Bravo Mnyika keep it up.
 
Zitto Kabwe- huyu bwana anajua kupanga hoja
Halima Mdee- Mdada anae ana pick her fights vizuri.
January Makamba- ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.
John Mnyika- Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.
Regia Mtemi- Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu
Freeman Mbowe- nilitegemea amake headlines.
MwanaFalsafa1

Kosa ulilofanya ni kutuletea majina bila sababu sitaki kuamini hizo juu ndizo sababu za wewe kuwaona nyota kama ndizo basi utakuwa na walakini hata kama ni maoni yako, huwezi kusema huyu kafanya makeke sana ikawa sababu ya kumuona nyota, kwa mfano unaweza kusema namuona Lissu nyota kutokana na hoja yake ya mahakama kutoingiliwa kisiasa au January aliposema Kiswahili kitumike kwa vile kinatumika kimataifa hizo ndizo nilitegemea utumwagie halafu tuchambue ipi hoja yenye mshiko.
 
Mkuu hii hoja yako ina GAMBA, pia haiendani na kichwa cha hoja unawaponda hao wabunge nyoto kwa mujibu wako sasa wanakuwaje nyoto,
Harafu ukaweka na MAKAMBA ndani, hata wewe unaandika huku unajishuku kwamba watu watakugomea, kwa nini unajipa stress kwa kutetea uozo? huyo Dogo ana uchama na Udini ya uchama iko wazi ya udi kachimbe twitter zake juu ya LIBYA NA NATO, au babu ambilikile, huyo sio nyoto,
ana makundi furani wanamuita rais mtalajiwa wa 2020 hilo ni gamba jingine, kwanza nashindwa kuelewa kwa nini 2020 wakati kuna uchaguzi 2015, au ndio anakusanya mtaji wa kununua urais 2020?
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.

Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.

Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.

January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.

Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:

John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.

Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.

Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.
 
Huwezi kutaja wabunge nyota bila kutaja jina la Tundu Lissu. Huyu bwana uwezo wake wake wa kujenga hoja ni sawa na ule wabunge 100 kutoka CCM.
 
ORODHA YA WABUNGE WANAOONGOZA KWA KUUCHAPA USINGIZI BUNGENI MPAKA UDENDA UNAMWAGIKA:...
1. CAP: JOHN KOMBA
2.......

Enhe tuendelee wadau
 
Umeua hoja yako kwa kutomtaja Tundu Lissue. Celina knows that Lissu is another animal and he will always continue to be another animal. Inawezekana mtoa hoja ulitaka umfiche January Makamba katikati ya orodha yako. Lakini je, utawezaji kumpachika Makamba kwenye orodha ambayo Godbles Lema hayupo!!! Mmhh hapo kwa kweli umetuchanganya na ndiyo maana baadhi tunahisi una agenda ya siri.
 
<b>Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.<br />
<br />
Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.<br />
<br />
Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.<br />
<br />
January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.<br />
<br />
Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:<br />
<br />
John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.<br />
<br />
Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.<br />
<br />
Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.<br />
</b>
<br />
<br />


Mkuu,Inawezekanaje ukawa Umefanya Oversight ya kutomtaja Mheshimiwa TUNDU ANTIPACE LISSU,LISSU NI MASHINE AMBAYO IMEJIPAMBANUA WAZI NDIYO MAANA HATA JAKAYA ANAMGWAYA! Siamini kwamba haujaliona hilo,something isnt right here!!

Kuhusu Mbowe,Mbowe anaongoza Timu ya Watu Mahiri kupindukia ndiyo maana kuongea na hoja wanazozitoa Vijana wake kunau-preempty!! Ukiwa mtu unaongoza kambi ya watu vilaza utajikuta unalazimika kuongea sana,Mbowe anaongoza kambi ya watu with fine brains,hana haja ya kupiga kelele nyingi!!

Hata siku ya mwisho ya Bunge lililopita(kama uliaangalia) bungeni,aliipaza sana sauti yake bungeni wakati wanajadili Budgeti ya Mahakama,he was very informed,rhetoric,patriotic and eloquent,need i say more!!

Mbowe is Great,ndiye mwenyekiti wa Chama kinachoinyima Ccm usingizi,lazima ana mkono mrefu katika kuifanya Chadema iwe hivyo ilivyo leo!!!

Ni matusi Kumfananisha Mbowe na ndugu Hamadi ambaye anaongozwa na Tumbo na ndiyo maana alifanya kila hila kutaka kupindishwa kwa kanuni za Bunge ili iundwe kambi ndogo ya Upinzani ili yeye awe kiongozi wake apate Benefits zake!!!

Nawaza tu kwa sauti kuu!!!
 
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.
Wewe usidandie treni kwa mbele ivi hoja ya ufisadi na wewe umeianza lini? siamini Kibaraka wa mafisadi kama wewe iti kuzungumzia mafisad!! hivi ndo kusema umejivua gamba au unaigiza?
 
Umemsahau Mh. Makinda - anajitahidi sana kulinda chama chake kisiabishwe na wabunge wa upinzani... Amefanikiwa kumkingia kifua Waziri Mkuu pindi alipokamatwa akilidanganya bunge...
 
duuuu, please kabla ya kupost thread jitahidi kujionezea ufahamu kidogo, otherwise huo uwe ni mtizamo wako kwa bunge la benin au mali lakini sio tanzania. umemtaja zitto na mdee kwa unafiki tu. huitaji kuwa na elimu ya form four kujua kama tundu lissu ndo alikuwa kinara wa bunge lililopita,ukitaka kuthibitisha muulize pinda,makinda, sitta, werema na kombani.
 
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.

Wewe nawe hata sikuelewi cku hizi! Mbona hutulii? Una ugomvi binafsi? Usije ukaleta ya akina Jaffaria tena&#1548;
 
Ameona hafagiliwi hapa janvini akaamua kujifagilia mwenyewe, hongera

Nakusoma!, hawa watu wengine hata cjui ni WaTz au? Tutajua pumba na mchele kila kukicha, tusiishie tu huku Jf tujitahidi kila mtu kumwelimisha mwenzake mtaani. Mwfisadi wanatumaliza tusiposhtuka.
 
Back
Top Bottom