Ni kweli muongeze Lisu, nakubaliana na hao uliowataja.
kuna wagombea walikuwa wanapangiwa maneno ya kuongea kwenye majukwaa,wananchi wakawaamini kuwa ni wapiganaji sasa subiri wataumbuka mmoja baada ya mwingine, na most of them kwa sasa waamejikita katika migogoro kwani akili zao zime hang wakisubiri kupangiwa maneno ya kuongea pale bungeni.Mntika hana uwezo wa kuwa mbunge,ambaye bado anamatumaini na mnyika asubiri ajionee. Ivi sugu kuna point hata moja aliongea bunge lililokwisha?
MwanaFalsafa1Zitto Kabwe- huyu bwana anajua kupanga hoja
Halima Mdee- Mdada anae ana pick her fights vizuri.
January Makamba- ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.
John Mnyika- Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.
Regia Mtemi- Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu
Freeman Mbowe- nilitegemea amake headlines.
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.
Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.
Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.
January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.
Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:
John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.
Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.
Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.
ORODHA YA WABUNGE WANAOONGOZA KWA KUUCHAPA USINGIZI BUNGENI MPAKA UDENDA UNAMWAGIKA:...
1. CAP: JOHN KOMBA
2.......
Enhe tuendelee wadau
<br /><b>Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.<br />
<br />
Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.<br />
<br />
Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.<br />
<br />
January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.<br />
<br />
Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:<br />
<br />
John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.<br />
<br />
Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.<br />
<br />
Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.<br />
</b>
Wewe usidandie treni kwa mbele ivi hoja ya ufisadi na wewe umeianza lini? siamini Kibaraka wa mafisadi kama wewe iti kuzungumzia mafisad!! hivi ndo kusema umejivua gamba au unaigiza?Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.
Hao ndugu zako wasahau waambie wasubiri next time may be 2015 or 2020 vyama vyao vitakapokuwa kambi rasmi ya upinzani.
Ameona hafagiliwi hapa janvini akaamua kujifagilia mwenyewe, hongera