Wabunge Nyota!

Wabunge Nyota!

MwanaFalsafa1

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
5,564
Reaction score
847
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.

Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.

Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.

January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.

Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:

John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.

Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.

Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.
 
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.

Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.

Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.

January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.

Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:

John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.

Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.

Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.

Mpaka hapo hujamtaja Tundu Lisu nina wasiwasi kama huwa unaangalia bunge la tz au la somalia! Huyu makamba naye sijui umemtoa wapi! Yeye ana maslahi yake flani asikudanganye, ametumwa huyoooo!
 
yani kitendo cha kutokuanza kumtaja Tundu Lissu tu,umenipa mashaka na kuamini moja kwa moja ulikuwa umemlenga kumtaja huyu wa tatu tu,hata zitto na mdee umewataja basi tu.Ningeomba uangalie kikao kijacho vizuri halafu ndio uje kutoa orodha yako tena kwenye hi thread yako kwa usahihi na bila unazi.
 
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.

Zitto Kabwe- Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.

Halima Mdee- Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.

January Makamba- Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.

Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:

John Mnyika- Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.

Regia Mtemi- Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.

Freeman Mbowe- Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.

ahaaaa.... mwanafalsafa hata wewe? Waulize wabunge wa CCM in confidence watakuambia ni nani anawanyima usingizi. Lissu is scaring the hell out of those lot. Better still muulize Celina Kombani. She waa shaking like a leaf kila aliposimama Lissu, bahati yake alikuwa kakaa karibu na mwanasheria mkuu Werema.
 
Kama hujamtaja Mh LISSU hata hao wengne hawana maana juzi pale bungeni kidogo Kombani na Warema mkojo uwatoke pindi Lissu anaposimama. Hao wengne ckatai ila anza na Lissu.
 
Mkuu MwanaFA1;

Za siku Mkuu?

Good to read from you again. Nice post.

Wako akina Lisu pia. Tutajua kadiri siku zinavyokwenda hasa Bunge lijalo la bajeti.

Respect.
 
Jaman ee TUNDU LISU NIKIFAA BINAFSI NAMKUBALI MAMA MAKINDA ANAMUOGOPA MPAKA CKU HZ MAMA ANAOMBA URAFIKI. Hahahaha!
 
Jaman ee TUNDU LISU NIKIFAA BINAFSI NAMKUBALI MAMA MAKINDA ANAMUOGOPA MPAKA CKU HZ MAMA ANAOMBA URAFIKI. Hahahaha!


Nakumbuka mara tu alipochaguliwa kwenye kiti cha uspika huyu mama alianza kwa kuhubiri kuwa wabunge wote lazima wasome na kuzijua 'kanuni za bunge' na nina uhakika kichwani kwake alikuwa anaamini angewaumbua watu (Lissu & co) kwa kutumia hizo kanuni. Shida inakuja pale watu kama Lissu, Mnyika, Halima Mdee ambao ni wanasheria kwa taaluma wanampa LIVE kwamba sheria au kanuni yeyote haisomwi kama riwaya lazima isomwe sambamba na sheria mama -KATIBA. Hapo sasa..... mama itabidi apate mawani nyengine.
 
yani kitendo cha kutokuanza kumtaja Tundu Lissu tu,umenipa mashaka na kuamini moja kwa moja ulikuwa umemlenga kumtaja huyu wa tatu tu,hata zitto na mdee umewataja basi tu.Ningeomba uangalie kikao kijacho vizuri halafu ndio uje kutoa orodha yako tena kwenye hi thread yako kwa usahihi na bila unazi.


kuna wagombea walikuwa wanapangiwa maneno ya kuongea kwenye majukwaa,wananchi wakawaamini kuwa ni wapiganaji sasa subiri wataumbuka mmoja baada ya mwingine, na most of them kwa sasa waamejikita katika migogoro kwani akili zao zime hang wakisubiri kupangiwa maneno ya kuongea pale bungeni.Mntika hana uwezo wa kuwa mbunge,ambaye bado anamatumaini na mnyika asubiri ajionee. Ivi sugu kuna point hata moja aliongea bunge lililokwisha?
 
Nakumbuka mara tu alipochaguliwa kwenye kiti cha uspika huyu mama alianza kwa kuhubiri kuwa wabunge wote lazima wasome na kuzijua 'kanuni za bunge' na nina uhakika kichwani kwake alikuwa anaamini angewaumbua watu (Lissu & co) kwa kutumia hizo kanuni. Shida inakuja pale watu kama Lissu, Mnyika, Halima Mdee ambao ni wanasheria kwa taaluma wanampa LIVE kwamba sheria au kanuni yeyote haisomwi kama riwaya lazima isomwe sambamba na sheria mama -KATIBA. Hapo sasa..... mama itabidi apate mawani nyengine.

huyu mama lacks public relations, communication skills, common sense above all she does not have the sense of humor ... she is completely frozen and cold
 
  • Thanks
Reactions: FJM
ila tundu yeye kajitahidi sana.Ama mbowe ameonesha udhaifu mkubwa wa nafasi aliyoing'ang'ania ya kuongoza kambi ya upinzani, natamani enzi za hamad rashid.mbowe kung'aa kazidiwa na mrema?!!
 
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.
 
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.

ninawasiwasi hata ulimi wako umeupaka mkorogo ndiyo maana unatoa rotten vapour
 
ila tundu yeye kajitahidi sana.Ama mbowe ameonesha udhaifu mkubwa wa nafasi aliyoing'ang'ania ya kuongoza kambi ya upinzani, natamani enzi za hamad rashid.mbowe kung'aa kazidiwa na mrema?!!
Hao ndugu zako wasahau waambie wasubiri next time may be 2015 or 2020 vyama vyao vitakapokuwa kambi rasmi ya upinzani.
 
ninawasiwasi hata ulimi wako umeupaka mkorogo ndiyo maana unatoa rotten vapour
Watu kama Mr.Mak ndio watumwa wa Msekwa kuja humu JF kuitetea CCM unategemea nini.
 
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.
Mbona umemng'ang'ania Sugu wakati sisi vijana wa Mbeya tunamuona anafaa.Mboma wabunge wengi tu wa chama tawala hawajawahi kuchangia tangu waingie Bungeni na huwasemi.
 
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza.

Baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.

Freeman Mbowe:

Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.


Zitto Kabwe:

Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.

Halima Mdee:

Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.

January Makamba:

Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.

Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:

John Mnyika:

Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.

Regia Mtemi:

Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.


 
Back
Top Bottom