Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Sakata la mihadaratI limezua mjadala mzito huku wabunge baadhi yao wameonakana kutetea watuhumiwa huku wakisema "busara itumike" wakati huo huo wakitaka "vifagaa" kuachwa na "mapapa" wakamatwe.
Kama wabunge wanashindwa kuwataja "mapapa" wakiwa na kinga nani atawataja?
Je wabunge watu wana maslahi gani na biashara ya mihadarati?
Kama wabunge wanashindwa kuwataja "mapapa" wakiwa na kinga nani atawataja?
Je wabunge watu wana maslahi gani na biashara ya mihadarati?