Wabunge ni wanafiki, mbona hakuna aliyejitokeza kupeleka hoja binafsi Bungeni kupunguza posho zao

kanone

JF-Expert Member
Oct 10, 2013
6,188
1,576
Wabunge kila siku wanashindana kuibua hoja binafsi zenye tija kwa watanzania masikini kama sehemu ya kuleta usawa katika mgawanyo wa pato LA taifa ,lakini cha ajabu hakuna mbunge yeyote ambaye ametaka kupeleka hoja binafsi kufutwa posho zao kubwa na mishahara YAO mikubwa ili kuwasaidia masikini na kuleta usawa kwa watumishi wote, wapo wanaonong'ona chinichini lakini wakiogopa wenzao kuwa watawapinga endapo watapeleka hoja hiyo.

Tunawataka wao kama wanajiona wazalendo wawe wa kwanza kupunguza posho zao ili kuleta usawa wa kufaidi pato la taifa.
 
Bora hizo posho mpaka pesa chafu za madili ukikuta wanavozifukuzia kwny kamati huwezi kutofautisha vyama vyao.
PAC na LAAC niliwahi kuelezwa Rafiki yangu mmoja kuwa alishuhudia 'Rais wa Mioyo ya Watanzania 2010-2015' akiwa Chairman wa LAAC akipewa Mlungula wa Mill 27 kupitia kwa dereva wake azime jaribio la Madiwani kuwaazimia Mkurugenzi na wakuu wa Idara. Nae baada ya kunywa mifuko mitatu hiyo ya Khaki akaagiza kuwaunga Mkono madiwani kwa Kuwakata Wakurugenzi 15% ya Mishahara ili kuwazuga madiwani!!!. Walipotibuana kwny kuwania madaraka hv karibuni ndo nikaanza kuafiki niliyoelezwa.
Leo hii naaminima kama yule Mzee alikuwa mpigaji simuamini mtu yoyote.
Tanzania nzima hakuna mwanasiasa msafi hata mmoja aliekwenda kupigiwa kura halafu akashinda akatudanganya kuwa hakushiriki michezo michafu ya kuhakikisha ushindi wake.
Wanatofautiana rafu,uchafu na Ujanja wa kuficha ushahidi.
 
Wabunge kila siku wanashindana kuibua hoja binafsi zenye tija kwa watanzania masikini kama sehemu ya kuleta usawa katika mgawanyo wa pato LA taifa ,lakini cha ajabu hakuna mbunge yeyote ambaye ametaka kupeleka hoja binafsi kufutwa posho zao kubwa na mishahara YAO mikubwa ili kuwasaidia masikini na kuleta usawa kwa watumishi wote, wapo wanaonong'ona chinichini lakini wakiogopa wenzao kuwa watawapinga endapo watapeleka hoja hiyo.

Tunawataka wao kama wanajiona wazalendo wawe wa kwanza kupunguza posho zao ili kuleta usawa wa kufaidi pato la taifa.
Jamani hata Zitto?
 
naturally binadamu wote ni wanafiki...ndo maana hata mkiwa kundi kubwa la watu mnataka kupanda gari lazima watakuwepo wa kwanza kutaka kupanga huo ni unafiki tu unawasumbua...u-mimi!
 
Wabunge kila siku wanashindana kuibua hoja binafsi zenye tija kwa watanzania masikini kama sehemu ya kuleta usawa katika mgawanyo wa pato LA taifa ,lakini cha ajabu hakuna mbunge yeyote ambaye ametaka kupeleka hoja binafsi kufutwa posho zao kubwa na mishahara YAO mikubwa ili kuwasaidia masikini na kuleta usawa kwa watumishi wote, wapo wanaonong'ona chinichini lakini wakiogopa wenzao kuwa watawapinga endapo watapeleka hoja hiyo.

Tunawataka wao kama wanajiona wazalendo wawe wa kwanza kupunguza posho zao ili kuleta usawa wa kufaidi pato la taifa.
Vipi mbunge Kingu ameishia wapi? Si ilikua hoja yake hiyo?boma mpaka chama chetu kilimpongeza? Ukiwa mnafki uwe na kumbukumbu.
 
Wabunge kila siku wanashindana kuibua hoja binafsi zenye tija kwa watanzania masikini kama sehemu ya kuleta usawa katika mgawanyo wa pato LA taifa ,lakini cha ajabu hakuna mbunge yeyote ambaye ametaka kupeleka hoja binafsi kufutwa posho zao kubwa na mishahara YAO mikubwa ili kuwasaidia masikini na kuleta usawa kwa watumishi wote, wapo wanaonong'ona chinichini lakini wakiogopa wenzao kuwa watawapinga endapo watapeleka hoja hiyo.

Tunawataka wao kama wanajiona wazalendo wawe wa kwanza kupunguza posho zao ili kuleta usawa wa kufaidi pato la taifa.
Vipi hoja ya mbunge Kingu imeishia wapi? Si alikua wa kwanza kuibebea bango hoja hiyo mpaka chama chetu kikampongeza? Ukiwa mnafki uwe na kumbukumbu.
 
Wabunge kila siku wanashindana kuibua hoja binafsi zenye tija kwa watanzania masikini kama sehemu ya kuleta usawa katika mgawanyo wa pato LA taifa ,lakini cha ajabu hakuna mbunge yeyote ambaye ametaka kupeleka hoja binafsi kufutwa posho zao kubwa na mishahara YAO mikubwa ili kuwasaidia masikini na kuleta usawa kwa watumishi wote, wapo wanaonong'ona chinichini lakini wakiogopa wenzao kuwa watawapinga endapo watapeleka hoja hiyo.

Tunawataka wao kama wanajiona wazalendo wawe wa kwanza kupunguza posho zao ili kuleta usawa wa kufaidi pato la taifa.
Wewe kilaza umefufuka?
 
Back
Top Bottom