Wabunge na Waziri wanamnadi Mtulia

Niko viunga vya kinondoni kila napopita nasikia mtulia ,mtulia hakika huyu kijana anakubalika sana

Nimtakie heri ya ushindi
 
Kauli ya ndugulile ni ya hovyo. Inatosha kubatilisha matokeo ccm wakishinda. Ilitokea miaka ya nyuma bunda warioba alipogombea na mkondya.
 
ccm lazima tushinde asubuhi namapema,yaliofanywa na magufuli hadi sasa nkiashiria tosha kupata kura za kishindoo
 
Watanzania bhana sisi ni watu wa ajabu sana inamana mtu hawezi kuletewa maendeleo akiwa upinzani ndo matokeo yake mtu anakuja na hoja dhaifu eti kwa kuwa alikuwa upinzani ndo mana hakuweza kuwatumikia kwa ufanisi wananchi huo ni ujinga mkubwa tena kwa mtu mwenye hakiri timamu kama mimi huwezi kunidanganya na hoja za kitoto kama hizo na ndo mana trump anaposema viongozi wa Africa hawawezi kujitegemea hata kimawazo mtu anachukia lakini nashindwa kuelewa unachukia nini kwa nini usijichunguze sasa kama mtu anahama kwa hoja ya kipumbavu namna hyo huyo anafaa kuwa kiingizi kweli?
 
Jamani mbona kuna majimbo ya maccm tangu uhuru yako hoi kabisa kimaendeleo ,nenda misungwi barabara mbovu ajabu, nenda kwimba, sengerema,sumve na sehemu zingine nyingi tu.
Ndio nashangaa ssa hilo jimbo la kinondoni miaka zaidi ya 50 lilikuwa chini ya CCM hawakutekeleza hayo eti leo ndio wanaahidi watayafanya ndani ya miaka 2?? Cjui watatumia miujiza gani !!!
 
Nafikili hata akishandinda Mtulia ...itakuwa ndo mwisho wabunge kujiuzuru...maana Mtulia sasa hivi anapumulia machine ICU alidhani atapata ubunge kirahis ...kumbe kazi sio rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…