Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Jopo zima la CDM wapo Tabora kwa kuwaambia ukweli juu ya yaliyotokea Igunga na mstakabali wa kesi yao makamanda iliyopo mahakamani.
Mwanzilishi wa tawi la CHADEMA atoa wazi takwimu za safari za Baba Riz huku akinukuu taarifa za JF. Alia na bodi ya mikopo kwa kusema hata nusu ya wanachuo wa SAUT tawil la Tabora hawajafika chuoni. Awahamasisha wananchi wa Tabora kufanya mapinduzi baridi kwa kutumia masanduku ya kura" amenukuu yaliyotokea Zambia"
Nitaendelea kuwajuza.
Mwanzilishi wa tawi la CHADEMA atoa wazi takwimu za safari za Baba Riz huku akinukuu taarifa za JF. Alia na bodi ya mikopo kwa kusema hata nusu ya wanachuo wa SAUT tawil la Tabora hawajafika chuoni. Awahamasisha wananchi wa Tabora kufanya mapinduzi baridi kwa kutumia masanduku ya kura" amenukuu yaliyotokea Zambia"
Nitaendelea kuwajuza.