johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Ukiwa neutral Hapa Jf ni rahisi kuona makundi ya Wapambe yanayofanya vizuri na yale yanayofeli
Kwa mfano kundi la Makamanda walamba asali ndio linafanya vizuri hadi sasa Katika kuitetea uongozi wa Chadema, juhudi za Retired, Daudi Mchambuzi na Yoda zinaonekana wazi
Kuna Mataga au Walinda legacy hawa wako njema mwenye utetezi na ulinzi
Kundi lingine la Makamanda asilia la akina Tindo nalo haliko nyuma hasa Baada ya Lisu na Lema kurejea nyumbani
CHAWA bado hawajawa imara hapa Jf inabidi wakaze buti sana kwani shughuli ya hapa siyo ya kitoto tuna hadi Waganga wa jadi akina Mshana jr
Dominica njema!
Kwa mfano kundi la Makamanda walamba asali ndio linafanya vizuri hadi sasa Katika kuitetea uongozi wa Chadema, juhudi za Retired, Daudi Mchambuzi na Yoda zinaonekana wazi
Kuna Mataga au Walinda legacy hawa wako njema mwenye utetezi na ulinzi
Kundi lingine la Makamanda asilia la akina Tindo nalo haliko nyuma hasa Baada ya Lisu na Lema kurejea nyumbani
CHAWA bado hawajawa imara hapa Jf inabidi wakaze buti sana kwani shughuli ya hapa siyo ya kitoto tuna hadi Waganga wa jadi akina Mshana jr
Dominica njema!