Wabunge kulikoni! Mbona bunge liko tupuu?

Wabunge kulikoni! Mbona bunge liko tupuu?

Bangoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
5,597
Reaction score
1,016
Kwa uzoefu wangu wa kutazama bunge leo wabunge ni wachache sana, hawafiki 100 kulikoni jamani? Mnaenda wapi?!!
 
wamekwenda kuwa trained kuchukua nafasi za doctors! pathetic!
 
hujajua nchi haitawaliki walimunao waipa serikali wiki mbili kuanzisha mgomo vichwa vinauma
 
hakuna cha kujadili maana mishahara yao ilishapitishwa siku nyingi na kila ukiomba mwongozo hakuna unaokubaliwa kwahiyo bora wakaongeze pato la taifa kwa kunywa bia.
 
Wapo kwenye mgomo wanataka waongezewe posho dodoma maisha ghali
 
Kwa uzoefu wangu wa kutazama bunge leo wabunge ni wachache sana, hawafiki 100 kulikoni jamani? Mnaenda wapi?!!

wamekwenda chako ni chako, panajaa sana siku hizi ukichelewa hupati kiti. Hivyo wamewahi huko
 
Nami nashindwa kushangaa! Ukumbi uko tupu sana..there must be something wrong!
 
Subiri siku ya kupitisha bajeti utawaona wakipitisha kwa mbwembwe za "Ndiiyoooooooo!!!"
 
Inakera..tutatafuta njia subiri kidogo..naanda taarifa ya kiuchunguzi..!
"Vox populi,vox dei"
 
Back
Top Bottom