Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,920
Kazi ya Mbunge bila shaka iko bungeni. Hivi mbunge anayeingia kwenye vikao vya bunge bila ya kuchangia kwa kuongea ama kwa kuandika jee anastahili kulipwa mshahara?
Mbunge anayechangia kama chizi ama asiyejua kilichoko mezani kinachotakiwa kuchangiwa naye anastahili kulipwa mshahara?
Kama kazi ya mbunge ni kuwa Bungeni kusema kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake, mawaziri nao wanalipwa mishahara ya kibunge kwa kazi gani wakati wao wako upande wa serikali? Yaani analipwa mshahara wa kufanya kazi za serikali kama waziri na hapo hapo analipwa mshahara wa kibunge wa kufanya kazi ya kuisimamia serikali!?
Wakati Spika anashughulika na wabunge asiojua wapo wapi kama Tundu Lissu, asimamishe pia mishahara ya wabunge hawa wasiofanya kazi za kibunge!!
Mbunge anayechangia kama chizi ama asiyejua kilichoko mezani kinachotakiwa kuchangiwa naye anastahili kulipwa mshahara?
Kama kazi ya mbunge ni kuwa Bungeni kusema kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake, mawaziri nao wanalipwa mishahara ya kibunge kwa kazi gani wakati wao wako upande wa serikali? Yaani analipwa mshahara wa kufanya kazi za serikali kama waziri na hapo hapo analipwa mshahara wa kibunge wa kufanya kazi ya kuisimamia serikali!?
Wakati Spika anashughulika na wabunge asiojua wapo wapi kama Tundu Lissu, asimamishe pia mishahara ya wabunge hawa wasiofanya kazi za kibunge!!