johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #41
Wapenda demokrasia ndani ya Chadema tutafurahi!Lumumba nafikiri mtafurahi na kuruka ruka siku Mbowe akitoka kwenye uenyekiti
Wapenda demokrasia ndani ya Chadema tutafurahi!Lumumba nafikiri mtafurahi na kuruka ruka siku Mbowe akitoka kwenye uenyekiti
Huyu akilala anaiota cdmMkuu Yohana Mbatizaji umeamka na CHADEMA
PumbaBaadhi ya wabunge wa Chadema wameiomba kamati kuu ya chama chao kuhakikisha Mbowe analipwa madeni yake.
Wabunge hao wamedai japo haijulikani kwa uhakika ni kwa vipi Mbowe anadai wakati fedha za kuendesha chama zilikuwa zinatolewa na Lowassa na rip Ndesamburo lakini bora alipwe tu ili uchaguzi wetu uwe huru.
Mbunge mmoja ( jina kapuni kwa sasa) amedai kuwa mara zote Mbowe amekuwa akipata kura za " huruma" kwa madai kuwa amekikopesha Chadema fedha nyingi sana na chama hakina uwezo wa kumlipa.
Tunataka tuingie kwenye uchaguzi tukiwa sawa kwa maana ya hakuna anayedai wala kudaiwa na chama halafu tuone muziki wake hapo, wamemalizia wabunge hao.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe utakuwa mfuasi wa ACT wazalendo!Pumba
Hahahaaaa....... Mrangi uko kwa Mwamba wa kaskazini au Kusini kuchele?!Huyu akilala anaiota cdm
Akigombana na gashi wake lawama anaitupia cdm
Ova
Hahahaaaa...... Utaelewa vizuri ifikapo December!Hivi hamjashtukia kuwa hizi propaganda zenu mfu hazina effect yoyote zaidi ya kudhihirisha upunguani wenu?
"Tatizo si kuondoka je kuna mtu atafanya na kuviendeleza vitu anavyovisimamia? " Alisikika fundi Maiko akiwa anaziba expansion jointLakini muda wake wa uongozi ulishakwisha tangu mwezi Septemba! Na sasa tuko Oktoba. Ameshakuwa Mwenyekiti wa chama kwa vipindi vitatu mfululizo!
Ni wakati wake sasa na yeye kupumzika na hivyo kuwaachia wengine waendeleze pale alipoishia, kama ilivyokua kwa watangulizi wake akina Mzee Edwin Mtei, Bob Makani, nk.
Au unaonaje Kamanda?
Mwekeni Polepole asimame na Mbowe kama vipi.Kura za ndio na hapana ni demokrasia nzuri kuliko hii ya Ufipa ya kuweka mgombea " kanyaboya"............./mfano Heche anaweza kumpinga Mbowe kweli?!
Hizi ni propaganda zinazotoka kiwandni pale lumumba kwenye gorofa lenye rangi ya bange mbichi.
Polepole mtakutana naye October 2020!Mwekeni Polepole asimame na Mbowe kama vipi.
Bwashee hapo kuna maoni ya jumla ya wabunge...... na nukuu ya mbunge mmoja usichoelewa ni nini au mbege haijatoka kichwani hadi muda huu!
Kamanda kwani mbege inauzwa Bar?Bwashee,.....,vilabu vya mbege...
Inawezekena maendeleo hayana vyama lakini kwako wewe mkuu, naona yana ukabila.
"Tatizo si kuondoka je kuna mtu atafanya na kuviendeleza vitu anavyovisimamia? " Alisikika fundi Maiko akiwa anaziba expansion joint
Fanyeni Proaganda ongeeni Sana lakini Mjue sisi wananchi ndio Mahakama yenuBaadhi ya wabunge wa Chadema wameiomba kamati kuu ya chama chao kuhakikisha Mbowe analipwa madeni yake.
Wabunge hao wamedai japo haijulikani kwa uhakika ni kwa vipi Mbowe anadai wakati fedha za kuendesha chama zilikuwa zinatolewa na Lowassa na rip Ndesamburo lakini bora alipwe tu ili uchaguzi wetu uwe huru.
Mbunge mmoja ( jina kapuni kwa sasa) amedai kuwa mara zote Mbowe amekuwa akipata kura za " huruma" kwa madai kuwa amekikopesha Chadema fedha nyingi sana na chama hakina uwezo wa kumlipa.
Tunataka tuingie kwenye uchaguzi tukiwa sawa kwa maana ya hakuna anayedai wala kudaiwa na chama halafu tuone muziki wake hapo, wamemalizia wabunge hao.
Maendeleo hayana vyama!
Jikite kwenye hoja kamandaYule jamaa yenu mbona kama hana dalili ya kutoka. Wewe unaonaje?
Mkuu usijali watakatifu wako CHADEMA hawana dhambi wala mawaa.Hizi ni propaganda zinazotoka kiwandni pale lumumba kwenye gorofa lenye rangi ya bange mbichi.