Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,284
- 33,892
Yule jamaa yenu mbona kama hana dalili ya kutoka. Wewe unaonaje?Hahahaaaa........wenzio wanataka uchaguzi huru na wa haki bwashee!
Yule jamaa yenu mbona kama hana dalili ya kutoka. Wewe unaonaje?Hahahaaaa........wenzio wanataka uchaguzi huru na wa haki bwashee!
Uongozi ni miaka 10 kamanda sasa unataka atoke aende wapi?!Yule jamaa yenu mbona kama hana dalili ya kutoka. Wewe unaonaje?
Nyie watu waambieni watu wenu hapo Lumumba wawe wanawapa taarifa za kutosha kabla ya kuweka kitu hapa JF. Bob Makani alikuwa ni mwanamke?Ni wakati wake sasa na yeye kupumzika na hivyo kuwaachia wengine waendeleze pale alipoishia, kama ilivyokua kwa watangulizi wake akina Mzee Edwin Mtei, Bi Makani, nk.
Unawauliza wabunge wa Chadema?!Hivi nyie hamfurahii kubaki kwa Mbowe??, maana mnasema chama kimemfia sasa s ndio furaha yenu????
Nyie watu waambieni watu wenu hapo Lumumba wawe wanawapa taarifa za za kutosha kabla ya kuweka kitu hapa JF. Bob Makani alikuwa ni mwanamke?Ni wakati wake sasa na yeye kupumzika na hivyo kuwaachia wengine waendeleze pale alipoishia, kama ilivyokua kwa watangulizi wake akina Mzee Edwin Mtei, Bi Makani, nk.
Nyie watu waambieni watu wenu hapo Lumumba wawe wanawapa taarifa za kutosha kabla ya kuweka kitu hapa JF. Bob Makani alikuwa ni mwanamke?
Mnakera sana!!
Katika hili maslahi ya taifa ni yapi. Si lazima kwanza uchaguzi ufanyike au nyie wazalendo mnataka Mbowe atoke bila ya utaratibu?Hasa pale ninapo jaribu kupigania maslahi ya Taifa.
Wanajua hawezi kwenda kuomba msamaha!!Kwanini CCM wanamuogopa Mbowe kiasi hicho
Nadhani CCM wanaamini katika demokrasia sasa hawawezi kuendelea kutoa ruzuku kwa uongozi wa kisultani!Kwanini CCM wanamuogopa Mbowe kiasi hicho
Kwani ametakatisha fedha?!Wanajua hawezi kwenda kuomba msamaha!!
Kwani CCM ndiyo inatoa ruzuku kwa CHADEMA? Nyie watu mbona mnadhani watanzania huwa wanaishi kwa hisani ya chama chenu?Nadhani CCM wanaamini katika demokrasia sasa hawawezi kuendelea kutoa ruzuku kwa uongozi wa kisultani!
Halafu aliyefyatua risasi yupo mtaani anadunda tu!!Tatizo la ile kesi yao ni ukweli kuwa hawawezi kuurejesha uhai wa yule binti!
Katika hili maslahi ya taifa ni yapi. Si lazima kwanza uchaguzi ufanyike au nyie wazalendo mnataka Mbowe atoke bila ya utaratibu?
Lakini je Katiba ya CHADEMA inamzuia Mbowe kugombea tena kama anataka?
CCM ni chama tawala ndio maana CC yake hukutania Ikulu.Kwani CCM ndiyo inatoa ruzuku kwa CHADEMA? Nyie watu mbona mnadhani watanzania huwa wanaishi kwa hisani ya chama chenu?
Ushauri murua kabisa!Kamanda, watanzania wengi na wapenda mabadiliko kama mimi, tunapenda kuiona Chadema imara na inayowapigania Watanzania ili kuwakomboa kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi (CCM)!
Sasa kama muda wa uongozi wa Kamanda Mkuu umekwisha, kuna nongwa gani kumchagua mpambanaji mwingine zaidi ili kuendeleza yale mazuri yake yote? Huoni akiendelea kuwa Mwenyekiti atasababisha mgawanyiko ndani ya chama kwa kutokea kwa makundi yatakayo mpinga?
Lakini muda wake wa uongozi ulishakwisha tangu mwezi Septemba! Na sasa tuko Oktoba. Ameshakuwa Mwenyekiti wa chama kwa vipindi vitatu mfululizo!
Ni wakati wake sasa na yeye kupumzika na hivyo kuwaachia wengine waendeleze pale alipoishia, kama ilivyokua kwa watangulizi wake akina Mzee Edwin Mtei, Bob Makani, nk.
Au unaonaje Kamanda?
Anawezaje kuchaguliwa mtu mwingine bila ya kufanyika kwa uchaguzi? Lakini pia Katiba ya CHADEMA haizuii kugombea ama kama wanachama wataamua kuchaguliwa tena kwa Mbowe!!kuna nongwa gani kumchagua mpambanaji mwingine zaidi ili kuendeleza yale mazuri yake yote?