Ndugai ni tatizo kubwa kwa Bunge letu.Sidhani kama spika ndio tatizo, japo wabunge wa CCM kumuombea Mdee msamaha kweli imekuwa ajabu kwangu
Ninachodhani mimi ni kuwa bajeti ya serikali iliyopita ni imeboronga sana, hawajaajiri watumishi, fedha za maendeleo hazijapelekwa kwa kiasi kikubwa, sera za kubana matumizi na kuzitenga private sector zinavyofanya mapato yasitoshe n.k
So wanahitaji wabunge wa upinzani ambao wapo vocal kwa ajili ya kuyasema hayo kwa kuwa CCM wenyewe kuisema sana serikali inakuwa unajihatarisha, naona ndio maana wakamtetea ila Ndugai sioni kama ana tatizo sana kwenye bunge kuwa butu...labda naibu spika Tulia
Watu wengi wameshangaa kitendo cha wabunge wote wa CCM kumtetea Halima Mdee kwa kauli yake kuwa Spika ni 'fala' eti kaomba radhi?
Kumbe ukweli ni kuwa wabunge hao kwa umoja wao bila kujali itikadi walidhamiria kumuonyesha Spika na ofisi yake kuwa alichokisema Mdee kina ukweli ndani yake.
Sababu hasa ni wabunge hao kuna jinsi mhimili wao unavyo nyanyaswa na serikali kwa kunyimwa pesa za posho za kamati na gharama zingine za uendeshaji ilihali zilisha pitishwa na budget ya 2016/17 na spika yuko kimya kama FALA.
Na kuwa ni kwa vile Mdee kalitumia tuu neno hilo ndani ya Bunge lakini ni jina wanalolitumia wengi wao wakiwa canteen au sehemu za nje ya bunge. Na watumiaji wakuu ni hao hao wa ccm
Mkuu kuitwa Kamati ya Haki na Mamlaka ya Bunge kunakuhusu.Watu wengi wameshangaa kitendo cha wabunge wote wa CCM kumtetea Halima Mdee kwa kauli yake kuwa Spika ni 'fala' eti kaomba radhi?
Kumbe ukweli ni kuwa wabunge hao kwa umoja wao bila kujali itikadi walidhamiria kumuonyesha Spika na ofisi yake kuwa alichokisema Mdee kina ukweli ndani yake.
Sababu hasa ni wabunge hao kuna jinsi mhimili wao unavyo nyanyaswa na serikali kwa kunyimwa pesa za posho za kamati na gharama zingine za uendeshaji ilihali zilisha pitishwa na budget ya 2016/17 na spika yuko kimya kama FALA.
Na kuwa ni kwa vile Mdee kalitumia tuu neno hilo ndani ya Bunge lakini ni jina wanalolitumia wengi wao wakiwa canteen au sehemu za nje ya bunge. Na watumiaji wakuu ni hao hao wa ccm
Mkuu umekosea kumwambia FALA, nadhani tujitahidi kutumia lugha nzuri kidogo jamani, kweli simpendi huyo babu lakini siyo busara kumtukana.
Offcourse huyu Naibu Spika Tulia ni tatizo pia.Hivi nani anaafadhali kati ya Spika na Naibu Spika...!
hakuitwa yeye fala, halima alimuita mtu mwingine ila sio spikaNdugai ni tatizo kubwa kwa Bunge letu.
Hilo jina linamfaa sana.
Wewe Spika wa Bunge kila Rais anapoenda kwenye shuguli upo nyuma.. Juzi anaimbishwa solidarity forever pale Uwanja wa Ushirika mpaka unamuonea huruma..!!
Hutukuzoea kumuona Spika akiandamana na Rais kila mahali except huyu na huyu Kaimu Jaji Mkuu.
Bunge ni Mhimili kamili.
U should stand firm kwa ajili ya Bunge lako.
Bunge lilirudisha 6Bil serikalini.
Kama sio kutafuta Sifa za kijinga ni nini??
Hilo jina linamfaa sana.
"Tuna Raisi wa ajabu haijawahi kutokea duniani " Tundu Lissu.Na bado
Hata Lissu leo kaongelea kukumbuka awamu ya nne na zingine, walizoea.
Hao hawafai kuwepo bungeni, bora hata ambao hawajasoma bali wanajua kusoma na kuandika ndio watuwakilishe.
Hapa kazi tu
Kwake yeye ni sifa tu hapa JfTuwe fair kwa watu wote.
Magufuli√= makufuli xSiku hizi spika Ndugai hakosekani kwenye misafara ya Makufuli
Na akisalimiana naye anainama kwa 'adabu' kuliko RC wa Dodoma Rugimbana
Samahani mjomba wewe ndiye Ndugai nn?Ungeanza kwanza kumuita Babako FALA
kwanza naona ingeleta maana,
Fala anamuongoza Mwanasheria wenu mkuu wachama!!
Fala anamuongoza Mwenyekiti wenu wachama!!
Maneno mengine msipende kuyatumia nikuonyesha mlivyo Wapumbavu kichwani.
Sikuzote Mjinga hawezi kuongoza mwenye Akili
Fala niyule anaye ongozwa na Fala
Kwani wewe ndiye Mdee?Sa
Samahani mjomba wewe ndiye Ndugai nn?