Wabunge CCM Kumtetea Mdee Kumbe ni Salamu kwa Spika

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,702
71,013
Watu wengi wameshangaa kitendo cha wabunge wote wa CCM kumtetea Halima Mdee kwa kauli yake kuwa Spika ni 'fala' eti kaomba radhi?
Kumbe ukweli ni kuwa wabunge hao kwa umoja wao bila kujali itikadi walidhamiria kumuonyesha Spika na ofisi yake kuwa alichokisema Mdee kina ukweli ndani yake.
Sababu hasa ni wabunge hao kuna jinsi mhimili wao unavyo nyanyaswa na serikali kwa kunyimwa pesa za posho za kamati na gharama zingine za uendeshaji ilihali zilisha pitishwa na budget ya 2016/17 na spika yuko kimya .
Na kuwa ni kwa vile Mdee kalitumia tuu neno hilo ndani ya Bunge lakini ni jina wanalolitumia wengi wao wakiwa canteen au sehemu za nje ya bunge. Na watumiaji wakuu ni hao hao wa ccm
 
Kwanza kuweka rekodi sawa, halima hakumuita spika fala, alimwambia mbunge flani hivi ila sio spika na pili Sidhani kama spika ndio tatizo, japo wabunge wa CCM kumuombea Mdee msamaha kweli imekuwa ajabu kwangu
Ninachodhani mimi ni kuwa bajeti ya serikali iliyopita ni imeboronga sana, hawajaajiri watumishi, fedha za maendeleo hazijapelekwa kwa kiasi kikubwa, sera za kubana matumizi na kuzitenga private sector zinavyofanya mapato yasitoshe n.k
So wanahitaji wabunge wa upinzani ambao wapo vocal kwa ajili ya kuyasema hayo kwa kuwa CCM wenyewe kuisema sana serikali inakuwa unajihatarisha, naona ndio maana wakamtetea ila Ndugai sioni kama ana tatizo sana kwenye bunge kuwa butu...labda naibu spika Tulia
 
Nyie ndio tatizo
kila kinacho tokea mnakigeuza ili mpate sifa mitandaoni,
Wakitofautiana mnaanza kuropoka wana ubaguzi,
Lazima mtambue kuwa Mdee mwenyewe ndio Chanzo cha hao wabunge wa Ccm kumuombea msamaha
Mdee alipo simama na kuomba msamaha kwa spika na wabungewote pia hata watanzania Mbele ya Bunge
isinge kuwa Busara wabunge waidhinishe Adhabu kwa mtu aliye kiri kukosea,

Wacheni kutafuta kiki kwa mambo yakijinga hapa Jf
ukweli mnauona
 
Sidhani kama spika ndio tatizo, japo wabunge wa CCM kumuombea Mdee msamaha kweli imekuwa ajabu kwangu
Ninachodhani mimi ni kuwa bajeti ya serikali iliyopita ni imeboronga sana, hawajaajiri watumishi, fedha za maendeleo hazijapelekwa kwa kiasi kikubwa, sera za kubana matumizi na kuzitenga private sector zinavyofanya mapato yasitoshe n.k
So wanahitaji wabunge wa upinzani ambao wapo vocal kwa ajili ya kuyasema hayo kwa kuwa CCM wenyewe kuisema sana serikali inakuwa unajihatarisha, naona ndio maana wakamtetea ila Ndugai sioni kama ana tatizo sana kwenye bunge kuwa butu...labda naibu spika Tulia
Ndugai ni tatizo kubwa kwa Bunge letu.


Wewe Spika wa Bunge kila Rais anapoenda kwenye shuguli upo nyuma.. Juzi anaimbishwa solidarity forever pale Uwanja wa Ushirika mpaka unamuonea huruma..!!

Hutukuzoea kumuona Spika akiandamana na Rais kila mahali except huyu na huyu Kaimu Jaji Mkuu.

Bunge ni Mhimili kamili.
U should stand firm kwa ajili ya Bunge lako.

Bunge lilirudisha 6Bil serikalini.
Kama sio kutafuta Sifa za kijinga ni nini??
 
Ndugai ameshindwa kuliongoza bunge, anaongozwa kwa remote kutoka magogoni, sasa kwann wabunge wote wasimbatize jina jipy la fala!!
Inabidi leo usiku kabla hajalala ajitafakari upya!! Kuwa inakuwaje wabunge wake wa ccm wanasimama kidete kumtetea mbunge wa upinzani aliemtusi!!!! Hizo ni salama zake kutoka Kwa wabunge wa ccm kuwa wamechoka kuburuzwa kutokea magogoni. Ova!!!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Watu wengi wameshangaa kitendo cha wabunge wote wa CCM kumtetea Halima Mdee kwa kauli yake kuwa Spika ni 'fala' eti kaomba radhi?
Kumbe ukweli ni kuwa wabunge hao kwa umoja wao bila kujali itikadi walidhamiria kumuonyesha Spika na ofisi yake kuwa alichokisema Mdee kina ukweli ndani yake.
Sababu hasa ni wabunge hao kuna jinsi mhimili wao unavyo nyanyaswa na serikali kwa kunyimwa pesa za posho za kamati na gharama zingine za uendeshaji ilihali zilisha pitishwa na budget ya 2016/17 na spika yuko kimya kama FALA.
Na kuwa ni kwa vile Mdee kalitumia tuu neno hilo ndani ya Bunge lakini ni jina wanalolitumia wengi wao wakiwa canteen au sehemu za nje ya bunge. Na watumiaji wakuu ni hao hao wa ccm
Watu wengi wameshangaa kitendo cha wabunge wote wa CCM kumtetea Halima Mdee kwa kauli yake kuwa Spika ni 'fala' eti kaomba radhi?
Kumbe ukweli ni kuwa wabunge hao kwa umoja wao bila kujali itikadi walidhamiria kumuonyesha Spika na ofisi yake kuwa alichokisema Mdee kina ukweli ndani yake.
Sababu hasa ni wabunge hao kuna jinsi mhimili wao unavyo nyanyaswa na serikali kwa kunyimwa pesa za posho za kamati na gharama zingine za uendeshaji ilihali zilisha pitishwa na budget ya 2016/17 na spika yuko kimya kama FALA.
Na kuwa ni kwa vile Mdee kalitumia tuu neno hilo ndani ya Bunge lakini ni jina wanalolitumia wengi wao wakiwa canteen au sehemu za nje ya bunge. Na watumiaji wakuu ni hao hao wa ccm
Mkuu kuitwa Kamati ya Haki na Mamlaka ya Bunge kunakuhusu.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hivi nani anaafadhali kati ya Spika na Naibu Spika...!
Offcourse huyu Naibu Spika Tulia ni tatizo pia.

Lakini Spika Ndugai anaonekana ovyo kwasababu yeye anapaswa kumcontrol huyu dada lakini inaonekana kabisa anamgwaya.

Kwa mfano Inasemekana ni Tulia aliamua mwenyewe kurejesha zile 6Bil serikalini akidai Bunge limebana matumizi. Leo hii Bunge kifedha limechoka mbaya.

Spika ndio kila kitu lakini haonyeshi kuwa strong.
Kutwa yupo nyuma ya watawala.
 
Ndugai ni tatizo kubwa kwa Bunge letu.

Hilo jina linamfaa sana.

Wewe Spika wa Bunge kila Rais anapoenda kwenye shuguli upo nyuma.. Juzi anaimbishwa solidarity forever pale Uwanja wa Ushirika mpaka unamuonea huruma..!!

Hutukuzoea kumuona Spika akiandamana na Rais kila mahali except huyu na huyu Kaimu Jaji Mkuu.

Bunge ni Mhimili kamili.
U should stand firm kwa ajili ya Bunge lako.

Bunge lilirudisha 6Bil serikalini.
Kama sio kutafuta Sifa za kijinga ni nini??

Hilo jina linamfaa sana.
hakuitwa yeye fala, halima alimuita mtu mwingine ila sio spika
 
Na bado

Hata Lissu leo kaongelea kukumbuka awamu ya nne na zingine, walizoea.

Hao hawafai kuwepo bungeni, bora hata ambao hawajasoma bali wanajua kusoma na kuandika ndio watuwakilishe.


Hapa kazi tu
"Tuna Raisi wa ajabu haijawahi kutokea duniani " Tundu Lissu.
 
Ndugai katika nchi inayofuata sheria alitakiwa kushtakiwa kwa kumpiga bakora mtu katika kampeni zake.

Sasa mtu ambaye hawezi kujizuia hasira akiwa na high profile kama yeye katika nchi akiitwa fala mimi hata sishangai.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sa
Ungeanza kwanza kumuita Babako FALA
kwanza naona ingeleta maana,
Fala anamuongoza Mwanasheria wenu mkuu wachama!!
Fala anamuongoza Mwenyekiti wenu wachama!!
Maneno mengine msipende kuyatumia nikuonyesha mlivyo Wapumbavu kichwani.
Sikuzote Mjinga hawezi kuongoza mwenye Akili
Fala niyule anaye ongozwa na Fala
Samahani mjomba wewe ndiye Ndugai nn?
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom