Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
London vipi M4C. Lema alifikia hoteli au nyumbani kwa Mbowe alipokuwa huko?
"Mkombozi" wa Mwaafrika anatowa hela Tanzania anapeleka kwenda kununuwa nyumba London na Dubai ili tu na yeye akiongea aweze kusema "pale nyumbani kwangu London" au "pale nyumbani kwangu Dubai".
Miafrika ndivyo Ilivyo - NN
Sidhani kama ni sahihi kwa mwanaume rijali kuona wivu kwa pesa halali ya mwenzio endapo anaitumia kiuwazi kabisa na ameiearn kihalali na kuamua wapi ajenge na si kukaribisha investors tu hata wa nyumbani wanainvest nje
Ni vizuri ukiulizia hela isiyo halali mafichoni swiss